Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini. Nahitaji Toyota hilax dabo kibin iliyopo kwenye hali nzuri iwe na usajili wa c au b ninalipa ml.6.3
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni. Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii. Bei yake ni 65 milion. Nyumba ina documents...
1 Reactions
0 Replies
979 Views
lengo nifuge ngombe dume 1 jike 2,mbuzi jike 2 dume 1 karibuni wazee tufanye biashara
0 Reactions
62 Replies
8K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa 1600sqm kipo bunju Kinauzwa. Kipo upande wa Mog secondary. Kiwanja kina hati halali kabisa Kipo mkabala na hospitali binafasi kubwa inayojengwa eneo hilo. Kipo kwenye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nyumba yenye vyumba 8 na kiwanja heka moja inauzwa ipo mafinga Iringa km 4 kutoka barabara kuu iendayo dar na km 3 kutoka kambi ya jeshi ya mafinga bei milioni 35 tu kwa wanaohitaji tuwasiliane...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji printer nina laki na nusu
0 Reactions
25 Replies
44K Views
A phone is good,it was bought feb 13,2017 for more info call 0657137745. Im in dar esalam. Welcom
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Gari iko vizuri sana Inauzwa 6.5mln Gari inapatikana magomeni mikumi dar...kwa mawasiliano piga 0715591141
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Nauza plot 600sqm ipo goba mwisho 1 km kutoka lami. Contact 0785191982
0 Reactions
2 Replies
906 Views
1)Samsung galaxy note 4 -tsh 50000 2)samsung gakaxy s5-tsh 400000 3)Samsung galaxy grand 2-tsh 320000 4)Samsung galaxy à7-tsh 500000 5)Huawei g9-tsh500000 Sim zote ni mpya....kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Toyota Rav4 1999 model 5door Milioni 11.6 T 222 CGP Gari ipo vizuri, haijawai kugongwa wala kurudiwa rangi Call/Whatsap 0714521 128 0786 119 448
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari!! Kwa mwenye mashine hiyo au anamfahamu mwenye mashine tajwa (picha inafuata) naomba aniunganishe nae. Maelezo ya kazi tunayotaka ifanye 1. Kusawazisha eneo lenye miti saizi ya kati na...
1 Reactions
0 Replies
853 Views
POWER BANK For mobile Phone/MP4/iPhone/Pad Input:5V/1A Output:5V1A&5V/2A Capacity: 12000mAh Tsh" 55,000/= POWER BANK For mobile Phone/MP4/iPhone/Pad Input:5V/1A Output:5V1A&5V/2A Capacity...
0 Reactions
0 Replies
532 Views
Model Huawei G6-U10 Ram 1Gb Phone storage 4Gb Android Version 4.3 Ina 4G Camera 8/5 MP Bei 300k (laki 3),Negotiable. Kwa serious buyers cheki nami PM kwa mawasiliano na picha zaidi...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Simu iko poa ila betri linazingua ni la kubadilisha tu, na mfuniko wake haufungi fresh ila yenyew iko poa bei ni 65000 tu, atakae hitaj aniPM tufanye biashara!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Igweeeee, Msaada wenu wakuu, Nahitaji chumba cha kupanga Singida manispaa, Kiwe chumba na sebule ila kiwe self contained, kisiwe mbali sana na hospitali ya mkoa, kiwe na tiles, Naombeni msaada...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Viwanja 2 vinauzwa viko bagamoyo kimarang'ombe, vyote vina hati bei sh 6,000,000 kila kimoja, piga 0715-744767.
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Kiko eneo la makutano Musoma kina ukubwa wa hekari 1.5 kwa ambae anahitaji anicheki kupitia 0764339400 au 0625774881 Karibuni
0 Reactions
1 Replies
934 Views
Haya wadau,ule mzigo wa GPS/GSM/GPRS-KUTRACK GARI ILIYOIBIWA KWA KUTUMIA SIMU-SMS. UPO DAR-ES-SALAAM SASA. bei yetu ni poa sana. huitaji kuwa na simu za kisasa,hata simu za mkulima,tochi zinafaa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Inauzwa hiyo Bei 150,000 maelewano yapo
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…