Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni.
Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii. Bei yake ni 65 milion.
Nyumba ina documents...
Kiwanja chenye ukubwa wa 1600sqm kipo bunju Kinauzwa.
Kipo upande wa Mog secondary.
Kiwanja kina hati halali kabisa
Kipo mkabala na hospitali binafasi kubwa inayojengwa eneo hilo.
Kipo kwenye...
Nyumba yenye vyumba 8 na kiwanja heka moja inauzwa ipo mafinga Iringa km 4 kutoka barabara kuu iendayo dar na km 3 kutoka kambi ya jeshi ya mafinga bei milioni 35 tu kwa wanaohitaji tuwasiliane...
Habari!!
Kwa mwenye mashine hiyo au anamfahamu mwenye mashine tajwa (picha inafuata) naomba aniunganishe nae. Maelezo ya kazi tunayotaka ifanye
1. Kusawazisha eneo lenye miti saizi ya kati na...
POWER BANK
For mobile Phone/MP4/iPhone/Pad
Input:5V/1A Output:5V1A&5V/2A
Capacity: 12000mAh Tsh" 55,000/=
POWER BANK
For mobile Phone/MP4/iPhone/Pad
Input:5V/1A Output:5V1A&5V/2A
Capacity...
Model Huawei G6-U10
Ram 1Gb
Phone storage 4Gb
Android Version 4.3
Ina 4G
Camera 8/5 MP
Bei 300k (laki 3),Negotiable.
Kwa serious buyers cheki nami PM kwa mawasiliano na picha zaidi...
Simu iko poa ila betri linazingua ni la kubadilisha tu, na mfuniko wake haufungi fresh ila yenyew iko poa bei ni 65000 tu, atakae hitaj aniPM tufanye biashara!
Igweeeee,
Msaada wenu wakuu, Nahitaji chumba cha kupanga Singida manispaa, Kiwe chumba na sebule ila kiwe self contained, kisiwe mbali sana na hospitali ya mkoa, kiwe na tiles,
Naombeni msaada...
Haya wadau,ule mzigo wa GPS/GSM/GPRS-KUTRACK GARI ILIYOIBIWA KWA KUTUMIA SIMU-SMS. UPO DAR-ES-SALAAM SASA.
bei yetu ni poa sana.
huitaji kuwa na simu za kisasa,hata simu za mkulima,tochi zinafaa...