msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
Kiwanja chenye ukubwa wa 1600sqm kipo bunju Kinauzwa.
Kipo upande wa Mog secondary.
Kiwanja kina hati halali kabisa
Kipo mkabala na hospitali binafasi kubwa inayojengwa eneo hilo.
Kipo kwenye kona.
Nyuma ya kiwanja hicho ni eneo la soko.
Bei ni TZS 65m, maongezi yapo.
Kipo upande wa Mog secondary.
Kiwanja kina hati halali kabisa
Kipo mkabala na hospitali binafasi kubwa inayojengwa eneo hilo.
Kipo kwenye kona.
Nyuma ya kiwanja hicho ni eneo la soko.
Bei ni TZS 65m, maongezi yapo.