Toyota hilux double cabin inahitajika

Toyota hilux double cabin inahitajika

khalifa awe

Senior Member
Joined
Sep 21, 2016
Posts
147
Reaction score
31
Habarini. Nahitaji Toyota hilax dabo kibin iliyopo kwenye hali nzuri iwe na usajili wa c au b ninalipa ml.6.3
 
You are not serious mkuu, kwa hiyo bei
 
We jamaa inaonekana una dharau sana! milion sita hata number A hupati!!

Nenda kanunue bajaj miguu 3
 
Kwa Namba hizo b au c andaa zaidi YA 15m tena hapo unafikiriwa kama utaki unafukuzwaaaa[emoji125][emoji125]
 
Mimi ninayo namba TZA 213, sikuwahi kuweka namba Mpya za mfumo wa T....
Sasa kwa zaidi YA miaka 3 kuanzia uhuu mfumo uanze si utapigwa fine ndefu YA motorvehicle stik... Kama cc ni zaid YA 1500 kwa mwaka kodi na penat si chini YA. 280,000/= na hiyo gari kama ni TZA 213 sijui IPO katika hali gani kama IPO dar chumvi itakuwa ishafanya mambo yake.
 
Dah nimeishia kushindwa kushangaa!
Usishangae mkuu mwezi uliopita kuna ndugu yangu amenunua hilux double cabin used 1997. Show room za dar ametoa zaidi YA 30m. Na gari aijasimama kivile. Mwingine mkulima ifakara last year Dec amenunua hilux single cabin 2000 tuliagiza $7700 hadi DSM port weka ushuru na mambo mengine ilifika > 24m.... kiujimla haya magari yamepanda bei Sana kutokana na vita vinavyoendelea duniana kwa nchi maskini wapiganaji wengi wanayatumia kama magar YA kivita.
 
Kilichofanya nikashindwa kushangaa ni hiyo bei ya mtoa mada. Mengine usemayo sin shaka nayo najua kabisa Hilux iko bei juu. Nadhani mtoa mada anatest zali!
Usishangae mkuu mwezi uliopita kuna ndugu yangu amenunua hilux double cabin used 1997. Show room za dar ametoa zaidi YA 30m. Na gari aijasimama kivile. Mwingine mkulima ifakara last year Dec amenunua hilux single cabin 2000 tuliagiza $7700 hadi DSM port weka ushuru na mambo mengine ilifika > 24m.... kiujimla haya magari yamepanda bei Sana kutokana na vita vinavyoendelea duniana kwa nchi maskini wapiganaji wengi wanayatumia kama magar YA kivita.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom