Wakuu,
Natafuta kompyuta ya mpakato (laptop) yenye specifications zifuatazo au zinazokaribiana na hizo;
1. HDD: 500GB+
2. Processor: Core i5 au i7.
3. Operating System: Windows7 au 10 yenye...
Brand : Xiaomi Model: Redmi 3x
Mzigo ni 420k
✓✓used - about 4 weeks now but still iko vzuri sanaa { Gold Color}
✓2Gb RAM × 32Gb ROM
✓13Megapixels rear camera
✓5 Megapixels front camera
✓4G...
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
Habari,wanaJF Nauza MATANK YA KUHIFADHIA MAJI YA SIMTANK...Yapo mawili moja ni la "LITA 10000"..na lengine ni la "LITA 7000"...Yote yapo vizuri hakuna Hata Moja lenye kiraka na yamezungushiwa...
Habari wana JF natumaini wote ni wazima,
Nauza kuku aina ya Broiler na wapo tayari kabisaa kwa sh 5500 jumla wapo 200.
Nipo makongo juu karibu na CCM.
0788838821
Karibuni sana.
[emoji654] Tabata kisukulu sqm 1500 kina hati ya serikalini bei 16m fixed price
[emoji654] Keko madawa kina sqm 900 kina leseni ya makazi. Ni sehemu nzuri sana kwa uwekezaji wa vyumba vya kupanga...
Habari zenu wanajamii ninabiashara yangu ya asali mbichi kutoka tabora kwa anae hitaji Huduma inapitikana muda wote ukihitaji..mauzo nikuanzia litre 1 nahata kiujumla kama ukihitajii.
Make : Toyota
Model : Harrier (MCU30W)
Mileage : 136,440km
Engine size: 3,000cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive : 4WD (FOUR WHEELS...
Karibu tukupatie huduma zootee za Solar pamoja na Backup za umeme.
Pia tunauza vifaa vyoote vya solar pamoja na Bidhaa zote za ndani kama TV, FRIDGE, HOME THEATRE, RICE COOKER, PLATES ZA MAJIKO...
Nahitaji laptop mpya au iliyotumika kidogo sana..
Vigezo vya laptop ni hivi
1. Iwe H.P au Dell
2. Iwe na RAM at least 4GB.
3. Processor iwe i5 au i3.. but i5 itapewa kipaumbele zaidi..
4. HDD iwe...
Wakuu ninahitaji kujuzwa kwa undani ni jinsi gani naweza kupata vifaa vya solar kwa matumizi ya nyumbani
Pia napenda kufahamu ni namna gani vinafanya kazi (sina uelewa juu ya nishati hii).
Na pia...
Make : Toyota
Model : Starlet Glanza
Mileage : 143,910km
Engine size: 1,300cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Manual
Drive : 2WD (TWO WHEELS DRIVE)...
Habari zenu wana JF,
Ninataka kufungua stationery ambapo pia nitakuwa natoa huduma za IT karibu na chuo chochote hapa Dar es Salaam, naomba msaada wenu kwa yeyote anaejua ni sehemu gani na chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.