Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kituo Kipo kigamboni Centre Kina Mitungi Mitatu Inayofanya Kazi na Kimeshazoeleka Kwani Kinaendelea kutoa huduma kwa muda mrefu Price:Milion 7 per month Mkataba Rasmi ni miaka mitatu Mkataba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Heshima kwenu wadau.. Kuna appartment zinapangishwa vituka, nyuma ya airport karibu na Kwa jimmy au Ikizu Motel.. Nyumba ni nzuri kwa bachelor maana ni Chumba master na sebule yake + jiko Zipo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar watu wa JF. Napenda kuwatangazia kwamba natengeneza Crips za ndizi,mihogo na viazi,tambi za dengu (za pilipili na zisizo na pilipili), chaulo na karanga za mayai. Bidhaa hizi nauza kwa bei...
4 Reactions
5 Replies
8K Views
Habr wapendwa......naitwa Olly....leo npo hapa kuwaomba mumuunge mkono rafk wangu wa karb....anaitwa Tuli mwakatobe....yeye n mjacriamali wa kujitegemea.....na hapa anawaomba wapendwa kumuunga...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Viwanja vinauzwa bei nzuri kabisa.Vinafaa kwa makazi na kuna umeme na maji karibu.Viwanja vipo Mkoa wa kilimanjaro: Boma Ng'ombe na KIA Mkoa wa Arusha KIKATITI,na King'ori Mkoa wa Dar es Salaam...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Imetumika na bado iko Kwenye hali Nzuri.Bei 170000.Sina utaalamu wa kupandisha picha hapa.Niko Arusha.Interested call 0789678900
0 Reactions
0 Replies
516 Views
Msaada jamani mwemye kujua garden nzuri na bei poa kwa shughuli za harusi ndani ya DSM
1 Reactions
42 Replies
12K Views
Inauzwa Bei ni 165,, mwenye uhitaji anicheck Pm
0 Reactions
2 Replies
633 Views
Habari.....nipo Dar natarajia kwenda Mwanza kwa ajili ya Field kwa muda wa miezi miwili sina ndugu sina Jamaa wala Rafiki Mwanza nahitaji chumba ambacho nkitakuwa na kila kitu kwa bei nafuu....Cha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji Samsung note 3 kwa ofa ya 200,000/= iwe used in a good condition.. au iwe mpya.. Picha nitumie whatsaap +255622309790
0 Reactions
5 Replies
862 Views
Shamba lenye ukubwa wa Hekta 10 linauzwa, lipo Dar es salaam,Wilaya ya Ilala,Kata ya Msongola ,Eneo LA Mvuti ,lipo KM 2 kutoka Barabara ya Chanika Mbagala,lipo kando ya baraba ya Mvuti Dondwe...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Imberuzi Investment inawatangazia wakazi wa Dar es salaam na watanzania wote kutoa mafunzo ya kutengeneza mashine inayotumia mafuta ya taa kutotolesha vifaranga vya kuku.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Nakodisha gari kwa day trips na dreva ni mimi mwenyewe. Napatikana dar es salaam. Mawasiliano 0715720757 Gari ni nyeupe, 4 doors na imefanyiwa service aina ya station wagon. Picha ziko hapo...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Iphone 6 bei 800,000 Iphone 6s bei 1,150,000 Iphone 6+ bei 1,150,000. Iphone 6s+ bei 1,200,000 Iphone 5s 500,000 Kwa maelezo na mawasiliano nicheck kwa 0713239001
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nauzaa simu mpyaa kwa bei nafuu Iphone 6 space grey 16gb price 750,000 Iphone 6 silver 16gb price 750,000 Iphone 6 gold 16 gb price 750,000 Iphone 6s gold 16gb price 750,000 Nichek kupitia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Baada ya kufanya utafiti wa kukufanya taarifa za Makampuni nchini, nimeamua kuwaletea orodha ya Makampuni nchini kwa gharama nafuu. Orodha Ina Makampuni 120000 Tanzania. Orodha Ina:- Jina la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Samsung galaxy s6 imetumika kwa mwezi mmoja, ina sifa zifuatazo RAM 3GB Internal Memory 32 GB Camera ya nyuma 16Mega pixel Camera ya mbele 5 Mega pixel Anadroid version 5 (unaweza ku update hadi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina shida na laki 4 atakayeguswa please anikopeshe dhamana tv samsung led 32 na documents nyingine narudisha mwisho wa mwezi tarehe 30/5 please
2 Reactions
4 Replies
816 Views
Wadau ninafunga duka,nauza rasta na wivings zilizobaki kwa bei ya punguzo. Rasta aina zote bei ya 1000(elfu moja tu} kwa pic moja wiving zipo za kuanzia 8000(elfu nane) mpaka 10000(elfu kumi)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…