Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Toyota corola inauzwa, bei 5,000,000/=...Dar es salaam, haina tatizo haidaiwi. Mawasiliano 0719049292
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nakamilisha utengenezaji wa sabuni ya kuogea.. Hivyo Naomba mtaalamu anisaidie kuipima kabla ya majaribio. Mpimaji huyo atalipwa. Namba:0713-039875
0 Reactions
2 Replies
945 Views
NUNUA SMARTPHONES MPYA NA ORIJINO KWA BEI RAHISI KUPITIA SMARTPHONES TANZANIA – Original Smartphones at lower prices WEKA ODA YAKO NA UTALETEWA POPOTE ULIPO DAR ES SALAAM PIA MIKOANI TUNASAFIRISHA
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wana bodi..tunauza nyumba yetu maeneo ya Ilazo dodoma mjini..barabara lami umeme na maji ndani ya nyumba ina fence na geti kabisa pia ina frame mbili..nyumba imeishia juu ya lenta ina...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wadau kuna kiwanja kinauzwa bahari beach budget kina ukubwa wa square metres 4692 cha pili kutoka barabara ya lami kinafaa kwa kujenga apartment na kadhalika bei mil 400 maongezi yako picha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji katani ,kwa wanaodeal na issue hiyo wanione PM tuongee biashara. Kama una information yoyote tafadhali niambie,kilo ya katani ni bei gani,robota moja ina kilo ngapi,container moja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hallow habarini za pasaka Miti ya mbao inauzwa iko Mafinga Iringa Ziko ekari 13,miti ina umri wa miaka 9 aliyeinterested anipm asante.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Jaman naulizia soko la mayai ya kienyeji huko nina mayai yangu meng hapa natak nije nijumlishe huko
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Make : Toyota Model : Landcruiser Mileage : 5,710km Engine size: 4,600cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic Drive : 4WD (FOUR WHEELS DRIVE)...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
0 Reactions
1 Replies
560 Views
Natafuta soko la asali nina lita 100 nauza kwa Tsh.10,000 kwa lita. Napatikana Dar kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia 0746 019 259.
1 Reactions
1 Replies
617 Views
Naomba kujua kuwa soko la spinel nina red spinel ndogo Sana kama mchanga vp zinauzika naomba ushauri
0 Reactions
0 Replies
388 Views
NUNUA SMARTPHONES MPYA NA ORIJINO KWA BEI RAHISI KUPITIA SMARTPHONES TANZANIA – Original Smartphones at lower prices WEKA ODA YAKO NA UTALETEWA POPOTE ULIPO DAR ES SALAAM PIA MIKOANI TUNASAFIRISHA
0 Reactions
0 Replies
441 Views
jaman natafta room ya kupanga single self kubwa ya bei nafuu moshi mjini
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Inauzwa 1M nicheck kupitia 0713118737
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa Chanika ukubwa futi 45 kwa 42 bei milioni moja na laki tano pia mashamba yapo bei kuanzia milioni kumi vilevile kuna nyumba zinauzwa kuna ya milioni kumi na sita,milioni kumi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kuna boss anahitaji sheli ya kukodisha. mwenye nayo au ana connection anichek kwa no hii 0787776173. pamoja sana. yote maisha.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu, Ninatafuta mtaalamu anayeweza kutengeneza / renovate nyumba moja Dar es salaam na nyingine Mwanza. Nyumba ya Dar es salaam ni ya vyumba viene ipo mikocheni na nataka itengelezwe kwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nyumba hii ni ya nyumba 4 viwili master bed rooms na viwili vya kawaida. ina choo cha public, sebule, jiko na store. pia iko kwenye kiwanja kikubwa kama mnavojua viwanja vya mwanagati sio...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana JF, kwa yeyote anayeuza line za uwakala tigo pesa na Mpesa, Napatikana Mlandizi Kibaha tuwasiliane kwa 0757995789 au 0652765670 Asanteni!!
1 Reactions
2 Replies
778 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…