Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza used Tecno C8 ikiwa katika hali nzuri sana. Simu ni yangu binafsi nimeamua kuiuza. Haina tatizo lolote. Haina scratches wala dent yoyote. Angalia picha ukipenda njoo tuongee 0788309409
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Iphone 6 kwa 650,000 Iphone 6s 16gb kwa 850,00 Iphone 6 plus 16 kwa 900,000 Iphone 7 kwa 1,500,000 Iphone 5 kwa 400,000 Iphone 5s kwa 500,000 Simu zote ni mpyaa karibun kwa maelexo zaidi...
1 Reactions
5 Replies
11K Views
Poleni na majukumu Samahani kwa anatejua bei za pool table na faida zake. Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu tunatoa huduma zifuatazo:- 1.Tunauza domain extension zote mfano,.com,.org,.tz 2. Tunatoa huduma ya SSL kwa gharama nafuu sana 3.Tunahost site kwa gharama...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Nina karibia kuvuna viazi vya njano ( viazi lishe) naombeni Mwenye connection ya soko na bei ya sokoni Kwa gunia au ndoo 0714547830
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuku na bata (maji) wanapatika kwa bei ya shilingi 20,000. Nipo mbezi mwisho. Kwa atakayehitaji anitafute kwa namba hii: 0753249862. Karibuni sana.
0 Reactions
7 Replies
775 Views
Good condition 16 Gb Phone and charger only 390,000/= Serious buyer Njoo PM.
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Engine size 990cc 161,000Km Black Automatic Engine Safi Haisumbui Bei ni Million 6 tu. 0625 95 40 09
0 Reactions
0 Replies
510 Views
kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 50 kwa 50 kinauzwa kipo maeneo ya mbande/rufu kiwqnja kipo jirani na barabara umeme na maji umefika mpaka mlangoni... bei sh 4.5 maelewano yapo kwa...
0 Reactions
3 Replies
707 Views
Wakuu ninahitaji chumba masta na sebule. Maji yawepo. Nyumba iwe standard, ya kuishi kijana anayejipenda. Iwe karibu sana na barabara.. Sinza, Maeneo ya mawasiliano, Mwenge, Kinondoni, River...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Lipo DSM,Wilaya ya Ilala,Kata ya Msongola,Eneo la Mvuti,lipo KM 2 Kutoka Barabara ya Chanika Mbagala,halijapimwa,lipo kando ya Barabara ya Mvuti Dondwe,lipo karibu na Sekondari ya Mvuti na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadua natafuta mbegu ya Mihogo aina ya kiroba ya kutosha heka tano. Walau vipandikizi 20,000. Nipo Kongowe, Kibaha .
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadua natafuta mbegu ya Mihogo aina ya kiroba ya kutosha heka tano. Walau vipandikizi 20,000. Nipo Kongowe, Kibaha .
0 Reactions
0 Replies
780 Views
Miti Ina miaka 2 Lina ukubwa Wa ekar 50 Linauzwa kuanzia ekar 10 na kuendelea Bei ni laki 3 kwa ekar Shamba lipo mkoani NJOMBE ktk tarafa ya Lupembe Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au...
0 Reactions
3 Replies
768 Views
Corrugated(bati la migongo midogo) Hili bati lipo la aina mbili hapa kwetu Tanzania 1.corrugated(silver) haya ndo mabati ya kwanza miaka mingi sana yametumika hapa kwetu,mengi mpka leo mikoa...
2 Reactions
0 Replies
5K Views
Tunakujengea na kukukabidhi Nyumba Hizi *** Ndani siku 50 kwa Makubaliano *** +255 657 685 268 "Ni Haki Yako Kuishi Nyumba Nzuri na Salama!" Specifications: * Bati Kawaida za rangi 30G *...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunakujengea na kukukabidhi Nyumba Hizi *** Ndani siku 50 kwa Makubaliano *** +255 657 685 268 "Ni Haki Yako Kuishi Nyumba Nzuri na Salama!" Specifications: * Bati Kawaida za rangi 30G *...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Njoo nikuagizie gari toka Japan kwa bei nafuu, kwa kutumia namba 448745,
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Samsung 40" HD Smart LED TV Mpya inauzwa 1,150,000/= Ipo DSM Wanaoitaji karibu PM
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nipigie kama unahitaji kununua gari toka Japan kwa bei nafuu kabisa kwa kutumia namba 448745
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom