Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

  • Closed
Nauza mtungi wangu wa gesi kilo 30 aina ya mihan( Mihan gas 29.5kg) pia nina jiko ya sahani mbili halijatumika sana(Nikai gas cooker) vyote 160,000. Ukitaka kimojawapo ni sawa pia, nipo dar
0 Reactions
45 Replies
15K Views
Kilomita zake zinasoma 150000 Ni automatic transmission,inatumia petrol Model ya engen ni v6 20qr. Gari ilingia nchini mwaka jana mwezi wa nane.... Bei ya kuuza mln 25 maongezi kidogo yapo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je wewe ni Mkulima au Mfugaji na unahitaji ushauri? tunauza vitabu mbalimbali vinavyotoa ushauri juu ya Kilimo na Mifugo kwa bei nafuu. Pia tunatoa kipunguzo kwa watakaonunua nakala kuanzia 10...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Injini nzuri ya Pikipiki aina ya Honda cc250 mpya au iliyotumika ila isiyofunguliwa hata mara moja inahitajika. Aliyonayo anitafute nitaifuata mkoa wowote. Unaweza kunipata kupitia no...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Habari zenu wakuu...... Poleni na majukumu ndugu zanguni Nauza camera aina ya Nikon D3000 Specification LENS 55-200mm Memory 8Gb Betri yake inatunza moto Nakupa chaja yake pamoja na Beg lake...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
+255 657 685 268 WhatsApp! Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha! 1 chumba master 2 vyumba vya kawaida Sebure, Dining, jiko na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
+255 657 685 268 WhatsApp! Fahamu MAKISIO na MCHANGANUO wa Kiasi cha GHARAMA Kinachohitajika KUKAMILISHA UJENZI wa Nyumba Yako Sasa kwa Bei Nafuu! ---Pata MAKISIO ya MKOPO BENKI, MCHANGANUO wa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
+255 657 685 268 WhatsApp! Waweza pata Makisio na Mchanganuo wa gharama, na ushauri wa mkopo wa kibenki wa ujenzi wako na namna ya kujenga kwa Unafuu Zaidi wa Gharama, Ili Uweze kupata mwanga na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
+255 657 685 268 WhatsApp! Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha! 1 chumba master 2 vyumba vya kawaida Sebure, Dining, jiko na...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Nimekutana na wanunuzi toka Rwanda wanahitaji mchele toka Pakistán mchele wenyewe uwe grade 2...ni ule uliyoandikwa 15% broken rice... Package ya kila mfuko uwe 20 kg Kwa wiki unahitajika hata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu,nahitaji kununua mbaazi kutoka Manyara,mwenye nazo tuwasiliane kwa pm au kupitia namba yangu 0783724242 Idadi itategemea na bei tutakayo kubaliana. Wasalaam.
1 Reactions
4 Replies
813 Views
Habari wana jamii ninatafuta mayai ya kienyeji trey 50@12000 pia nauza vifaranga vya kienyeji kuanzia 2000-5000 napatikana KIJITONYAMA call/sms/whatsap 0659767196 karibuni sana.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza Playstation 4 Pro 1Tb storage Colour Jet Black Full Boxed Control pad iko moja ukihitaj ya pili tunaongea. Bei 1,050,000 Tshs
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habarizenu Kama wewe ni fundi au unajuaa mahali wanapo unlock ps3 Huku dom tusaidiane cha juu kipo Ni inbox Or 0684617704
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Habari wadau. Natafuta fremu ya kupangisha maeneo ya survey, chuo kikuu, au ubungo. Fremu iwe na umeme na iwe karibu na barabara kubwa yeyote. Kwa mwenye nayo tafadhali nitafute kupitia 0788...
0 Reactions
3 Replies
809 Views
..... Amount 5 million... Iko Dar
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kinapangishwa kinondoni mkwajuni.. 100,000 kwa mwezi.. karibu na stand.. zipo mbili moja ina choo na jiko ndani kwa 150,000.. 0713799522
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Price 320,000 Tsh Call 0718515171
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Habari wadau,nahitaji stationery na salon ya kiume za kununua mpanda mjini kwaajili ya kufanya biashara,asanteni!!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom