Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Front camera 2pixels Rear camera 13pixels RAM gb 2 Internal 16Gb Bei 250000.imetumika na inaweek 3 sahv.
0 Reactions
3 Replies
599 Views
Nahitaji chumba cha kupanga kiwe katika hali nzuri, na salama maeneo ya ubungo. maji yawepo ndani na kiwe karibu na barabara. Kikiwa self itakuwa vizuri zaidi bajet yangu ni elfu50
0 Reactions
1 Replies
744 Views
Tunauza vifaranga wa kuku bora wa kienyeji, Shamba letu lipo Kanyama Kisesa, Mwanza wapo aina mbalimbali kama Kloiler, Malawi (weusi) na chotara. Pia tunauza vifaranga vya Kanga, Bata mzinga...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Make : Nissan Model : GT-R Mileage : 29000km Engine size: 3,800cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic Drive : 4WD (FOUR WHEELS DRIVE) M/Year...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Nauza subwoofer sh 40000 opo katika hali nzuri inapatikana buguruni 0659865639
0 Reactions
9 Replies
2K Views
+255 657 685 268 WhatsApp!
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wanajamvi! Ninahitaji gari lkn ni kwa mbadilishano wa miti ya mbao ina miaka nane! Gari iwe kwenye hali nzuri tutafikia muafaka nimkatie ekari ngapi kulingana na ubora wa gari! Miti ipo...
0 Reactions
3 Replies
692 Views
Nauliza wapi naweza kupata kanzu za punjab hapa bongo?
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Nipo dar, nahitaji kujua bei ya stone quoted sheets, pia naweza kupata wapi hapa Tanzania
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Kuna mtu anatafuta kiwanja/sehemu ya kujenga fremu. Sehemu iwe kando ya barabara kubwa. Mkoa wa Dar es salaam anapendelea ukanda wa mbezi, tegeta, boko, bunju, madale, goba, ilala,kimara, mbezi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wapenzi salaam, mimi ni mjasiliamali ninae jihusisha na utengenezaji wa sabuni ambazo zimekuwa maarufu kwa jina la sabuni za magadi.... ambazo kiuhalisia ni sabuni za mawese pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Naomba kuuliza, hivi nawezaje kupata blower original ya kutengenezea simu yenye gun yake, pia kwa anayejua aina mbali mbali za blower na bei zake naomba anijuze. Nipo Moshi Kilimanjaro. Asante.
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Tunapenda kuwarifu umma kuwa rangi za magari za sikkens kutoka sassenheim,akzonobel the netherlands,mzigo mpya umewasili ambao ni , rangi ndege, primer za ndege ,plasitic primer za magari yote...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Nauza kiwanja kipo kigamboni eneo la Mbutu. 500sqm, surveyed area.Kina hati.Kipo 3.5km kutoka main road.Bei 9M. Ni pm kama uko interested.
2 Reactions
1 Replies
534 Views
Body rosa bus inauzwa ipo kwenye hali nzuri sana bei mil. 15 mazungumzo yapo.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Poleni na pilika wanajukwaa. Nawasalimu kwa lugha zote. Natarajia kuoa next month. Naomba kujulishwa maduka ya nguo za harusi za kiislam. Naprefer zaidi mitindo ya kihindi. Wasaalam
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Poleni na pilika za kila siku wanajukwaa, nawasalimu ktk salamu zote.. Natarajia kuoa next month. Naomba kujulishwa maduka ya nguo za harusi za kiislam hapa Dar ikiwa pamoja na bei zake. Naprefer...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Speed 2.5 Space 500gb Wireless keyboard Inch 21.5 Hd Front camera Ram 4gb
0 Reactions
7 Replies
956 Views
Natafuta room tazara dar iwe katika hali nzur na iwe ndan ya get,gharama isizid 70000
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Natafuta mahali hapa Dsm wanapouza makoti ya suti ya kisasa ya mtumba nataka nijitupie koti kazaa nibadirishe muonekano. Mtu anayejua maeneo hapa Dsm naweza pata mzigo huo alielekeze...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Back
Top Bottom