Kwa mwenye mahitaji ya laptop aina yaToshiba inafanya kazi vizuri kabisa na viti vinne vya wageni ofisini pamoja na meza yake vinauzwa Mwanza.Laptop imetumikamwakammojaila vitina meza...
Wasalaam wapendwa,
Kwa wale wenye mahitaji ya vitabu vya riwaya, napenda kuwakararibisha mjipatie vitabu vyenu...
Tupo Dar es Salaam maeneo ya posta, Bunju na Kinondoni. Kwa mikoani tunatuma...
Ninazo ekari 8 umbali toka barabara ya Lami(Bagamoyo-Msata) ni KM 3. Shamba linafaa kwa kilimo cha mahindi na maharage pia zipo ekari 4 kwa pamoja umbali toka lami(Bagamoyo-Msata) ni kms 2. Kila...
Gb 32
Ram 3gb
Front camera 2.1megapixel
Back camera 13megapixel
Screen size 5.5 inches
Line moja
Aina Tatizo lolote lile kabsa
Tsh 350000 tu mazungumzo yapo
0677177140
Jipatie Website/ Tovuti kwa ajiri ya biashara yako/taaasisi (TZS 180,000/=)
OCEAN MEDIA GROUP
Offa maalumu ya mwezi huu. Je unamiliki biashara / Taaasisi ya aina yeyote na ulikua unahitaji...
Hello.. necta kwa uzembe wamepoteza kumbukumbu za vyeti vyangu hivyo kusababisha niwekwe kwenye kundi la watu wenye vyeti feki..
Nataka kurudi kijijini kujaribu kilimo lakini nimekwama nauli kwa...
Natafuta hair drier zinazotumika kwenye saloon za akina mama, kama kuna mtu anajua aliyefunga saloon au anauza drier kwa shida nyingine anicheck kwa 0713228915 tufanye biashara,niko Dar
Mimi ni fundi umeme Kwa ngazi ya cheti nimesoma veta Nina leve ll miaka 24 nimejiajili mtaa nimejenga brand name uwana walekebishia vitatizo vidogo vidogo kama kutatua fault circuit, ila natafuta...
Habari ndugu msomaji! Natafuta shamba la ekari moja hadi mbili maeneo ya kiluvya hadi kibaha.
Ambaye atakuwa nalo au anajua mwenye nalo tafadhali tuwasiliane kwa PM au aweke details zake hapa...
tunauza nguo za watoto za mtumba wa ukweli, Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost,nk piga namba 0712288700 tupo karume
eneo linauzwa kigamboni
Bei: milion 16 (maongezi yapo)
Ukubwa wa eneo:mita 20x18
Mahali:kisiwani (mita 800 toka barabara ya lami)
Nyaraka:karatasi toka serikali ya mtaa au mahakamani
Service...
Highly Suitable for Multinationals, Medical/Educational institutions, real estate agencies, NGOs Investment center.
Just situated along Morogoro Road in Ubungo Plaza Building.With ample parking...
Habar za asubuh wakuu...kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu nimeona sio mbaya nikiwasilisha wazo hili kwenu.. Kama kunawatu wako interesting na hili basi tujiorganise then tucheze mchezo wa...
Unaposikia watu wanakusanyika kwasababu ya kujifunza jinsi ya kuanzisha na kukuza biashara kwa kipindi cha sasa ni muhimu sana kuzingatia...
Pengine muda mrefu sana umekua ukitamani na wewe kuwa...
Salamu wanabodi
Kwa anayeuza, au anayefahamu wanaouza hizi program naomba msaada wake.
Pamoja na hiyo pia natafuta ile mashine ya kuscan bacord.
Asanteni