Nyumba ya kisasa ya kupanga inahitajika Arusha mjini

Swordfisher

JF-Expert Member
May 1, 2013
233
37
Mkataba wa upangaji ni wa muda mfupi kuanzia mwezi mmoja hadi mitatu endapo maelewano yatakuwapo. Nyumba iwe ya kisasa iliyo katika eneo zuri lenye kufikika kwa urahisi, iwe na umeme na maji, iwe na angalau vyumba vinne vya kulala, iwe fully furnished, msaidizi wa kazi za Ndani ambae atalipwa na mpangaji na mengine Muhimu.
Alie na nyumba yenye sifa hizo aje PM.
 
Mkataba wa upangaji ni wa muda mfupi kuanzia mwezi mmoja hadi mitatu endapo maelewano yatakuwapo. Nyumba iwe ya kisasa iliyo katika eneo zuri lenye kufikika kwa urahisi, iwe na umeme na maji, iwe na angalau vyumba vinne vya kulala, iwe fully furnished, msaidizi wa kazi za Ndani ambae atalipwa na mpangaji na mengine Muhimu.
Alie na nyumba yenye sifa hizo aje PM.
Nina nyumba ya vyumba 3,well furnished and maintained, ipo Chama,just 1•5 from Arusha/MOSHI road.
Je inakufaa?
 
Back
Top Bottom