Nina hekari moja ya mihogo, natafuta wanunuzi

Wapendwa amani iwe pa1 Nanyi nna heka 1 ya muhogo bado cjapata soko naombeni muongezo. Au kama kuna anae hitaji 0672223738 ahsente.
Acha ubashite kijana.
1.Kwenye red ndio unamaanisha nini?
2.Na hapo kwenye blue sidhani kama kutakuwa na yeyote atakaye hitaji hizo namba.

Ushauri, unapokuwa unatangaza jambo hebu tuliza akili na upangilie mtiririko wa taarifa.
Mfano hujasema unapatikana wapi wala jinsia yako ni ipi.
 
Acha ubashite kijana.
1.Kwenye red ndio unamaanisha nini?
2.Na hapo kwenye blue sidhani kama kutakuwa na yeyote atakaye hitaji hizo namba.

Ushauri, unapokuwa unatangaza jambo hebu tuliza akili na upangilie mtiririko wa taarifa.
Mfano hujasema unapatikana wapi wala jinsia yako ni ipi.
huhuhuhuhu acha kumchosha mkuu, maisha yanazingua kinyama.
 
Nahisi jinsia haihusiki ila (Male)Muhogo upo TANGA wilaya ya MUHEZA kata ya KIGOMBE. Kuhusu bei namba niliweka hapo juu.

Wkhalifa9@gmail.com
ungetaja na variety mkuu,
1.kiguzo
2.kikombe
3.kibanda meno
pia time of maturity isije ikawa ishazeeka,

halafu ukubwa wa zao lako pia hauko clear, ekari 1 au hekta 1 maana hiyo unit area haijawahi kuwepo duniani,
anyway weka clear tangazo lako mimi nikuunganishe na wateja wanaonunua kata ya madanga wilaya ya pangani wakitokea dsm.
NOTE. lakini ukumbuke kunikonsida na mimi dalali
 
So sad mtu kaangaika na kilimo cha mihogo kaleta uzi wake fresh.basi kwa kuwa una makosa madogo na yanaeleweka.mnaanza kumbeza.acheni maswal unahitaj bidhaa mpigie akupe details kamili
 
Mkuu naomba ushike hili:- kuna Shirika linaitwa IITA lipo Dar es salaam wananunua kwa Bei nzuri pia ni Washauri wazuri Wa Kilimo hicho....wanapatikana Kwembe kwa Kolimba Dar es salaam watembelee ili upate unachohitaji,naamini hutajuta maana wanasafirisha Nje ya Nchi hiyo bizaa......hutaacha kulima Mihogo ukikutana na hao IITA.....
 
kuna maswali utujuze kaka;
1:shamba lako lipo wapi,
2:ni aina gani ya muhogo..kuna ile ya ugali pekee na kuna ile ya hata kuchemsha pia.
 
Mkuu naomba ushike hili:- kuna Shirika linaitwa IITA lipo Dar es salaam wananunua kwa Bei nzuri pia ni Washauri wazuri Wa Kilimo hicho....wanapatikana Kwembe kwa Kolimba Dar es salaam watembelee ili upate unachohitaji,naamini hutajuta maana wanasafirisha Nje ya Nchi hiyo bizaa......hutaacha kulima Mihogo ukikutana na hao IITA.....
Mkuu kwembe ndio wapi huko kwa usafiri wetu wa barabara za dar,
 
Back
Top Bottom