Waziry Khalfan
Member
- Jul 30, 2014
- 8
- 3
Wapendwa amani iwe pa1 Nanyi nna heka 1 ya muhogo bado cjapata soko naombeni muongezo. Au kama kuna anae hitaji 0672223738 ahsente.
Upon wapi?.Wapendwa amani iwe pa1 Nanyi nna heka 1 ya muhogo bado cjapata soko naombeni muongezo. Au kama kuna anae hitaji 0672223738 ahsente.
Acha ubashite kijana.Wapendwa amani iwe pa1 Nanyi nna heka 1 ya muhogo bado cjapata soko naombeni muongezo. Au kama kuna anae hitaji 0672223738 ahsente.
huhuhuhuhu acha kumchosha mkuu, maisha yanazingua kinyama.Acha ubashite kijana.
1.Kwenye red ndio unamaanisha nini?
2.Na hapo kwenye blue sidhani kama kutakuwa na yeyote atakaye hitaji hizo namba.
Ushauri, unapokuwa unatangaza jambo hebu tuliza akili na upangilie mtiririko wa taarifa.
Mfano hujasema unapatikana wapi wala jinsia yako ni ipi.
ungetaja na variety mkuu,Nahisi jinsia haihusiki ila (Male)Muhogo upo TANGA wilaya ya MUHEZA kata ya KIGOMBE. Kuhusu bei namba niliweka hapo juu.
Wkhalifa9@gmail.com
Futari hukamilika bila mihogo?nauliza tuNahisi jinsia haihusiki ila (Male)Muhogo upo TANGA wilaya ya MUHEZA kata ya KIGOMBE. Kuhusu bei namba niliweka hapo juu.
Wkhalifa9@gmail.com
nimecheka sana mzeeWasiliana na Dr Slaa.
Pole mkuu kumbe umeng'amua maana... Hahahaha!nimecheka sana mzee
Mkuu kwembe ndio wapi huko kwa usafiri wetu wa barabara za dar,Mkuu naomba ushike hili:- kuna Shirika linaitwa IITA lipo Dar es salaam wananunua kwa Bei nzuri pia ni Washauri wazuri Wa Kilimo hicho....wanapatikana Kwembe kwa Kolimba Dar es salaam watembelee ili upate unachohitaji,naamini hutajuta maana wanasafirisha Nje ya Nchi hiyo bizaa......hutaacha kulima Mihogo ukikutana na hao IITA.....