Bei ni milion 2 na nusu
Zipo ekar 20
Linapatikana mkoani njombe Ktk tarafa ya lupembe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929,0655726929 na whatsapp 0742188846
Heshima kwenu wote.
Tunawakaribisha wazazi na wanafunzi kwenye shule yetu ya Nseluka day care,iliyopo Pongwe,mtaa wa Sumbawanga,jijini Tanga.
Tunapokea watoto wa kutwa kuanzia miaka 1-7 wa jinsia...
Clearing and Forwarding company is available for sale.
Company has;
1. Clean records with TRA.
2. Valid TRA trading license.
3. Registered under TAFFA
4. Valid license and registration...
Habari zenu wakuu naomba msaada mwenye kuuza kioo au tv yake mbovu lakin kioo kizima aniuzie kioo chake yaani roho inaniuma sana nikiangalia tu yangu haijavikisha wiki 1 kioo kimepasuka...
JINA: ELISHA MATABE CHARLES 0754 56 51 94
TAREHE 6 MAY 2017 ALIKUA KITOKEA SHINYANGA KWENDA MWANZA KWA BASI, ALIPOTEZA BEGI LA MGONGONI LIKIWA NA VITU VINGI ILA VYA UMUHIMU NI CHETI CHA SEKONDARI...
Ninahitaji betri ya HTC One Max kama kuna mtu anayo naomba aniinbox bei na jinsi ya kuipata pia aseme kama ni ya mtumba ama mpya na kama anaweza kuifunga kwenye simu yangu. Asanteni kwa msaada wenu.
Gold imemeguka kidogo kwenye kioo cha kamera ila kamera inapiga kama kawaida vizuri tu na Black hiko njema idara zote
Lg g3
Gb 32
Ram 3gb
Camera ya mbele 2.1 megapixel
Camera ya nyuma 13...
Simu ya line Moja
~Gb 32
~Ram 1gb
~Camera ya mbele 1.3 megapixel
~Camera ya nyuma 8.0 megapixel
~Screen size 5.0 inche
-; Kwa bei ya 230,000/=Tshs
Maongezi yapo
SPECIAL PROMOTION Price Down[emoji652]. Original iPhones from UK. (used same like New)
:
Jumla na Reja Reja
:
iPhone 5c 16GB - 325000/=
:
iPhone 5c 32GB - 345000/=
:
iPhone 5s 32GB - 495000/=
...
nauza samsung galaxy grand prime plus nimeitumia mwezi mmoja na siku 4. haina tatizo lolote naiuza niongezee pesa ninunue simu nyingine kubwa zaidi. kwa wasiojua specification zake hizi:
camera ya...
Baada ya muda mrefu kwa kampuni yetu ya AL ADAWY INDUSTRIES kuwa imesimama shughuli zake za uzalishaji wa Sabuni za miche, sasa kampuni hii itaanza shughuli zake rasmi kuanzia mwezi wa sita...
MASHINE BORA KWA UZALISHAJI BORA.
TEC INCUBATOR & POULTRY CONSULTANCY tupo kwa ajili ya maendeleo ya wazalishaji wa kuku, bata, kware na kila aina ya ndege wafugwao.
Kwa kukuhakikishia hili...
Husika na kichwa cha habari,
Nahitaji desktop used iwe hp au dell ukubwa wa hard disk atleast 250 GB, 2GB ram, iwe na dvd writer, keyboard, mouse, VGA cable, na power cable.
Mwenye nayo come...
Husika na heading apo juu ,kiwanja kipo masasi mjini mkoa wa mtwara mtaa wa jida nyuma kidogo na soko la tandale au jirani na kanisa la sabato ,palijengwa nyumba ila kwa sasa imebaki kama gofu...
Hii ni KIRUTUBISHO PIA NI TIBA NZURI SANA.. HAINA MADHARA KWA MATUMIZI YA BINADAMU.
FAIDA ZAKE.
1. HUIMARISHA AFYA YA MWILI NA HUAMSHA KINGA YA MWILI.
2.HUPUNGUZA MADHARA YATOKANAYO NA MIONZI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.