Habari wadau wa JamiiForums,
Ee bana mimi natafuta shamba la kukodi heka moja liwe karibu na chanzo cha kudumu cha maji kwa ajili ya kufanya kilimo cha umwagiliaji.
Eneo linatakiwa liwe na...
This is a unique property exhibition ever happened in Tanzania.The event will feature top brands in the real estate ,sub sector,that include but not limited to:Real estate developers.Real estate...
HUWA NAFANYA BIASHARA YA MAZAO NA MIFUGO KUNA MAHALI NLIKWENDA NMEONA FURSA BT MTAJI WANGU HAUTOSHI, TALIPA LAKI MOJA NA NUSU KILA MWEZI UHAKIKA, DHAMANA NI NYUMBA YANGU NIMEJENGA HUKO KSARAWE...
Habari wakuu..
naombeni msaada kwa mwenye taarifa ya uwepo wa mashamba ya kukodi mkoani Morogoro.. nahitaji sehemu ambayo:-
1} iko karibu na chanzo cha maji na
2} pia iwe na sifa ya kuweza...
*ipo soweto vijibweni kigamboni
*ni mpya kabisa
* mara ya kwanza nilipanga mm ila nilikua cjaanza biashara natafuta mtu wa kunirudishia pesa aendelee
ndani kuna vitu vifuatavyo
1.Chupa za chai 4...
Ndugu wajf habari!Ninaomb msaada wenu
Nina nyumba yenye madirisha manne yenye vipimo vifuatavyo-Mawili ni cm 120 kwa 120cm,Moja ni 100cm kwa 120cm urefu na lingine ni 80 kwa 120 cm.Ninapenda...
Make : Toyota
Model : Harrier
Mileage :120,602km
Engine size: 2,990cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2003
Doors : 5
Seats ...
Waungwana.
Ambae amejenga nondo zikabaki au alizinunua akaghairi kuzitumia tutaftane.
ANGALIZO: bei yake isiwe ya dukani. Niko kibaha ila usafiri ninao mwenyewe na bei ya dukani hapa mtaani ni elf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.