Mandhari nzuri na sherehe nzuri.Karibu Budget hall leo utengeneze historia nyingine katika maisha yako,ukumbi unafaa kwa seherehe,mikutano,tamasha na shughuli yoyote unapokea hadi watu 500 na...
Sisi ni Jenga na Jeco ni kampuni iliyo sajiliwa rasmi na tuna umoja(Network) na watengenezaji-Wasambazaji-Wauzaji-Wasafirishaji-wakandarasi-wananchi wanaojenga-Mashikika ya Ujenzi na NGO's...
Kwa mtu anaetaka kufungua kampuni ya ujenzi na hana cheti pendekezi, anitafute kwa email wilsonkaisery@gmail.com na kwa simu namba 0679541348 tufanye mazungumzo ya kina.
Salaam wote!
Napenda kuomba yeyote mwenye kiwanja au taarifa ya kiwanja eneo la Majohe ambacho kinauzwa anijuze kwani nahitaji, kiwe na ukubwa kuanzia 30" kwa 30" au zaidi.
Asanteni.
Wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, nina jamaa yangu anahitaji line tajwa hapo juu. Anapatikana Dar es Salaam. Siyo lazima uwe na line zote. Hata kama una 1 au mbili kati ya hizo lines...
*ipo soweto vijibweni kigamboni<br />*ni mpya kabisa<br />* mara ya kwanza nilipanga mm ila nilikua cjaanza biashara natafuta mtu wa kunirudishia pesa aendelee<br />ndani kuna vitu vifuatavyo<br...
Habari wadau wa JamiiForums,
Ee bana mimi natafuta shamba la kukodi heka moja liwe karibu na chanzo cha kudumu cha maji kwa ajili ya kufanya kilimo cha umwagiliaji.
Eneo linatakiwa liwe na...
This is a unique property exhibition ever happened in Tanzania.The event will feature top brands in the real estate ,sub sector,that include but not limited to:Real estate developers.Real estate...
HUWA NAFANYA BIASHARA YA MAZAO NA MIFUGO KUNA MAHALI NLIKWENDA NMEONA FURSA BT MTAJI WANGU HAUTOSHI, TALIPA LAKI MOJA NA NUSU KILA MWEZI UHAKIKA, DHAMANA NI NYUMBA YANGU NIMEJENGA HUKO KSARAWE...
Habari wakuu..
naombeni msaada kwa mwenye taarifa ya uwepo wa mashamba ya kukodi mkoani Morogoro.. nahitaji sehemu ambayo:-
1} iko karibu na chanzo cha maji na
2} pia iwe na sifa ya kuweza...
*ipo soweto vijibweni kigamboni
*ni mpya kabisa
* mara ya kwanza nilipanga mm ila nilikua cjaanza biashara natafuta mtu wa kunirudishia pesa aendelee
ndani kuna vitu vifuatavyo
1.Chupa za chai 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.