nauza simu yangu aina ya Tecno C8 ikiwa katika hali nzuri sana.Simu haina tatizo lolote,haina scratches wala dent yoyote.Angalia picha ukipenda njoo tuzungumze. 0788309409
Maelewano kidogo yapo
Rejea kichwa cha habari,Tv aina ya aborder inch 24 na dish pamoja na king'amuz chake aina ya star Times,kwa jumla ya Tshs 350000/= NB:napatkana dodoma municipal,receipt zpo coz ni mali yangu.
Habari za asubuhi Wakuu, kama mnavoona picha tunauza dagaa wa kukaanga kutoka mwanza kwa bei nafuu kabisa, Ndoo ni sh 50,000 , kilo moja ni sh 8,000 na unaletewa popote ulipo, Tunapatikana dar kwa...
Nauza used Tecno C8 ikiwa katika hali nzuri sana. Simu ni yangu binafsi nimeamua kuiuza. Haina tatizo lolote. Haina scratches wala dent yoyote. Angalia picha ukipenda njoo tuongee 0788309409
Iphone 6 kwa 650,000
Iphone 6s 16gb kwa 850,00
Iphone 6 plus 16 kwa 900,000
Iphone 7 kwa 1,500,000
Iphone 5 kwa 400,000
Iphone 5s kwa 500,000
Simu zote ni mpyaa karibun kwa maelexo zaidi...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu tunatoa huduma zifuatazo:-
1.Tunauza domain extension zote mfano,.com,.org,.tz
2. Tunatoa huduma ya SSL kwa gharama nafuu sana
3.Tunahost site kwa gharama...
kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 50 kwa 50 kinauzwa kipo maeneo ya mbande/rufu kiwqnja kipo jirani na barabara umeme na maji umefika mpaka mlangoni...
bei sh 4.5 maelewano yapo
kwa...
Wakuu ninahitaji chumba masta na sebule. Maji yawepo. Nyumba iwe standard, ya kuishi kijana anayejipenda. Iwe karibu sana na barabara.. Sinza, Maeneo ya mawasiliano, Mwenge, Kinondoni, River...
Lipo DSM,Wilaya ya Ilala,Kata ya Msongola,Eneo la Mvuti,lipo KM 2 Kutoka Barabara ya Chanika Mbagala,halijapimwa,lipo kando ya Barabara ya Mvuti Dondwe,lipo karibu na Sekondari ya Mvuti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.