Habari za majukumu ya hapa kazi tu huku tukiendelea kusoma namba
Chumba na sebule kinapangishwa
mahali Mabibo mwisho
Bei elfu 80 kodi ya miezi sita
Sifa za nyumba
Kuna geti
Maji yapo ya bomba...
Habari za muda huu,
samahani naweza kupata simu ya Tecno ya bei chee ambayo ni used!
Simu yoyote kuanzia Android 2.3.5 Gingerbread na kuendelea!
Iwe P3,L3,M3 wewe weka bei tu
Kikubwa iwe na...
Habari!!!!
Kama title inavyojieleza, natafuta mahali ambapo naweza kufungua mgahawa kwa Dsm,,, nahitaji mongozo wenu kama kuna sehem unaifaham nipr direction tafadhali.
kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 50 kwa 50 kinauzwa kipo maeneo ya mbande/rufu kiwqnja kipo jirani na barabara umeme na maji umefika mpaka mlangoni...
bei sh 4.5M maelewano yapo
kwa...
Nahitaji simu wakuu kama heading ilivyojieleza hapo juu, iwe mpya. kama sitopata basi hata ushauri wenu ni muhimu ili nikienda dukani nisibabaike sana.
Niko Tanga
Natanguliza shukrani
Habari za mchana ndugu zangu kama wewe ni mtaalamu wa kutengeneza online matangazo njoo PM
Nahitaji kutengeneza online advisement.... Please PM...Fasta
Habari WanaJF,
Kam kichwa cha habari kinavyosomeka. Nahitaji hilo cover maana ambalo lilikuwepo kwenye gari langu limeibiwa na wezi wa hapa mjini kwa kuwa nilikuwa sinaliwekea super glue.
Hivyo...
Habari,
Kichwa cha habari kinajieleza.
Kiwanja kipo uswahilini mwisho wa Ice maji na umeme umefika kadhalika gari inaingia. Ukubwa 28x8 kina nyumba ya vyumba vi tano (5) viko kwenye lenta.Bei...
Sasa tumefungua ofisi yetu mbagala zakhem. Tunajihusisha na yafuatayo
1. Ufundi wa kompyuta, printers na photocopiers
2. Ufundi wa simu na tablets
3. Software installations
4. Recovery of lost...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.