Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Gari nzuri aina ya Mitsubishi Canter ambayo inafaa kwa shughuli za kubebea mizigo isiyozidi tani 2 inauzwa. Baadhi ya watu hutumia gari kubebea mizigo hasa maeneo ya kariakoo. Gari hii...
0 Reactions
5 Replies
13K Views
Available stock 40 tins T/1000 Expiry 2020 Manufacturer: Micros Price: Tsh 17,000/= @ Tin
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Ni umbali wa 45km kutoka ferry umeme upo tayari ni 800 mita kutoka bahari ilipo. kiwanja kina ukubwa wa 1100sqm bei yangu ni 9 million cash Call 0627911500
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote .Tzs 600,000 = Laki sika Key Features 20.4 megapixel Exmor R CMOS sensor 50x optical zoom lens (35mm equiv: 24-1200mm) Optical SteadyShot 3 inch...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
16GB colour :grey charger+usd[emoji390] bei 550k maelewano[emoji1541] Arusha 0762717113
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Nauza kashata za maziwa bakuli 10000. Nafundisha kuzitengeneza kwa 2000. Piga no 0673193391 Karibuni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza kashata za maziwa bakul ni 10000.nafundisha pia jinsi ya kuzitengeneza kwa 2000.namba 0673193391
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Kama kichwa tajwa hapo juu,kama unayo ni pm tufanye biashara.
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Jipatie mashine ya kichujia maji ambayo haitumii umeme ni rahis kutumia na ni salama kwa asilimia 100 kwa maana ina kipenyo cha micrometer cha 0.2 ambacho hakiruhusu bacteria wala uchafu wa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
kiwanja ~Kiwanja kinauzwa Maeneo ya Kimara Mwisho(Matosa) kina Mita 15(upana) Mita 30 (Urefu) Bei ni Shs Million 8 Umeme,Maji na mahitaji mengine yapo.... Maongezi ya Bei yapo Mawasiliano 0713...
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Karibu uandaliwe tender document na ushauri mwanzo mpaka mwisho. Update. Hii inahusu wale wenye makampuni either unataka kuintroduce company yako au tayari umeshaanza kuoperate based in IT...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau, Nahitaji hivyo vitu hapo juu, Nimejaribu kufatilia kwenye office zao hasa M. pesa na mashne ya betting wote wanataka leseni ya biashara mimi bado sijakata. Max malipo au selcom sijajua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Leo wadau, Natafuta Gari tubadilishane na Mbao za paini za kipimo atachohitaji, yeyote aliye na Gari ataeridhia hili, niko Mufindi mkoani Iringa. Nahitaji Gari kati ya Noah, Carina...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Simu iko katika hali nzuri tyu Kama unahitaji nicheki kwa namba hizi 0675636863/0762504906 Bei 165000Tsh N whatsapp pia zinapatikana
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Official Budget Resort Lounge Launch. Kama wewe ni Mstaarabu basi hii inakuhusu ijumaa ya Leo kuanzia saa moja jioni kutakuwa na live Jaz Muzic by golden lady Getrude band in the new budget...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Chuo kikuu cha Iringa Tawi la Amani Njombe kinatangaza Nafasi za masomo kwa ngazi ya cheti na diploma kozi zinazo tolewa ni 1.Maendeleo ya jamii 2.usimamizi wa biashara 3.Ushauri nasihii 4.Tehama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari Wakuu! Naulizia bei ya viti vya Saloon ya Kiume. Kama mtu anavyo, tafadhari tuwasiliane kwa email nsajigwa.mwandi@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rejea kichwa cha Habari, nipo Mwanza nahtaji kununua king'amuzi chochote kilichotumika hasa Startimes, mwenye nacho anichek pm au weka namba ntakupigia Asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta kioo cha samsung s5 nitakipata wapi na kwa sh ngapi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Chuo kikuu cha Iringa Tawi la Amani Njombe kinatangaza Nafasi za masomo kwa ngazi ya cheti na diploma kozi zinazo tolewa ni 1.Maendeleo ya jamii 2.usimamizi wa biashara 3.Ushauri nasihii 4.Tehama...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom