Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Uko opposite na ustawi wa jamii dar es salaam. Kodi ni laki 500,000. Hiyo hiyo laki 5. Viti 35 na meza atavikuta, majiko, ya mkaa na gesi, la kuchomea nyama, mishkaki, vyombo, freezer, miamnvuli...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Hii offer ni kwa watumish wa umma(watumish wa serikali) Hii ni company mpya APA dar HQ zipo posta mpya Uzur wa hii kitu unaweza kukopeshwa hata ukiwa na madeni..Kwenye taasisi za FEDHA. Makato...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Salam ndugu zangu. Je unahitaji chochote kutoka Uturuki? Basi usisite kuwasiliana nami ninaweza kukusaidia. Kwa sasa nipo Uturuki nitarudi nchini baada ya two weeks. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Tecno min tablet kwa anaehitaji ipo kinondoni, bei 290,000 mawasiliano 0621095235.
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Wakuu, tangu nije hapa mjini 12 years ago, sijawahi ona duka wanalouza spea za ndg.. Hivi kama Bombadear zetu zikiharibika spea huwa wananunua wapi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ninaomba anayejua pakuopata mbegu safi za pamba kama kilo tatu hapa dar anisaidie ni kwaajili ya kutengeneza dawa asante
0 Reactions
0 Replies
818 Views
...................
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Make : Toyota Model : Premio Mileage :74,177km Engine size: 1990cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2005 Doors : 4 Seats : 5...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Tuwasiliane Hapa Wakuu 0625796828 0625796828
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Moo Entertainment ni kampuni mpya inayojihusisha na Video productio zote! kama wewe ni msanii wa music, kwaya au bendi na unahitaji kutengeneza video nzuri ya nyimbo zako basi karibu saana Moo...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Miimi no DSA wa Tigo, tuna huduma mpya kwa watu binafsi na makampuni pia. Huduma yetu inaitwa POSTPAID yan Mteja unapata Fursa ya kupiga simu, kutuma msg na mb's unatumia mwez mzima then unalipa...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Star x TV nch 50 USB2 HDMI2 AV2 VGA1 Inachanel zake ndani Free za local Pia inawarrant miaka miwili pindi ikikusumbua tunakubadilishia mpya Price 1200000 Tunapatikana kariakoo msimbazi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
who knows how much working permit class C cost? thanks in advance
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza Xbox one used 500gb na cd 2 bure +fifa 16 kwa $350
1 Reactions
16 Replies
4K Views
unaweza kuunganisha nguvu na mwenzako mkapata viwanja viwili vilivyopimwa kwa bei ya kimoja (two-in-one), bei unapanga wewe ila aneyefika dau la juu zaidi ndiye mnunuzi. viwanja vipo eneo la...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Nipo dar es salaam natafuta darasa la make up zuri linalopatikana popote ndan ya dsm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom