Natafuta hair drier zinazotumika kwenye saloon za akina mama, kama kuna mtu anajua aliyefunga saloon au anauza drier kwa shida nyingine anicheck kwa 0713228915 tufanye biashara,niko Dar
Mimi ni fundi umeme Kwa ngazi ya cheti nimesoma veta Nina leve ll miaka 24 nimejiajili mtaa nimejenga brand name uwana walekebishia vitatizo vidogo vidogo kama kutatua fault circuit, ila natafuta...
Habari ndugu msomaji! Natafuta shamba la ekari moja hadi mbili maeneo ya kiluvya hadi kibaha.
Ambaye atakuwa nalo au anajua mwenye nalo tafadhali tuwasiliane kwa PM au aweke details zake hapa...
tunauza nguo za watoto za mtumba wa ukweli, Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost,nk piga namba 0712288700 tupo karume
eneo linauzwa kigamboni
Bei: milion 16 (maongezi yapo)
Ukubwa wa eneo:mita 20x18
Mahali:kisiwani (mita 800 toka barabara ya lami)
Nyaraka:karatasi toka serikali ya mtaa au mahakamani
Service...
Highly Suitable for Multinationals, Medical/Educational institutions, real estate agencies, NGOs Investment center.
Just situated along Morogoro Road in Ubungo Plaza Building.With ample parking...
Habar za asubuh wakuu...kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu nimeona sio mbaya nikiwasilisha wazo hili kwenu.. Kama kunawatu wako interesting na hili basi tujiorganise then tucheze mchezo wa...
Unaposikia watu wanakusanyika kwasababu ya kujifunza jinsi ya kuanzisha na kukuza biashara kwa kipindi cha sasa ni muhimu sana kuzingatia...
Pengine muda mrefu sana umekua ukitamani na wewe kuwa...
Salamu wanabodi
Kwa anayeuza, au anayefahamu wanaouza hizi program naomba msaada wake.
Pamoja na hiyo pia natafuta ile mashine ya kuscan bacord.
Asanteni
Gari ni almost mpya namba DDP
Ina vibali vyote
Naiuza maana nimeshindwa usmamizi mzuri
Gari ipo DSM
My no 0672243892
Bei mil 18 top
I need serious costomers
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unah itaji funguo ya...
Dah!! Hili duka linakimbiza kwa sasa hapa mjini hatari... Huyu kijana ni mbunifu sijawah ona.
Juzi nimepita na kununua raba zangu pale kwake baada ya kuona matangazo ya biashara zake kwenye...
UNAWEZA TAJIRIKA NDANI WIKI MOJA TU.
SASA FUATA MAELEKEZO HAYA KISHA NIONE KWA UFAFANUZI ZAIDI, KARIBU.
Amka Mwanamke ni kampuni iliyosajiliwa na msajili wa Makampuni (BRELA), na kupata usajili...
Wadau,
Binafsi naamini katika msemo wa kizuri kula na nduguyooo..
Hivyo nami pasi kupepesa macho wala kumung'unya maneno niwakaribishe International Commercial Bank-Ubungo Branch inayopatikana...
Wadau naombeni msaada kujua ukiacha hiyo mitandao niliotaja hapo juu ni mtsndao gani mingine inafanya biashara online kuns bidhaa nahitaji lakini sijapata kwenye hiyo mtandao.
Napatikana Dar nauza kitenge jumla na rejareja
Mikoani tunasafirisha kwa gharama yako
Kila kitenge kina bei zake japo vingi ni 35000/=
Viatu pia vina bei zake ukikipenda hapa njoo inbox tuongee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.