Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Closed thread.....
0 Reactions
0 Replies
447 Views
Bei million 3 Body lipo ktk hali nzuri Fuso ndefu au matumizi yako binafs
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza Duvet cover 40000 jumla 35000,set ya duvet nene 70000,shuka 2 foronya 2 cotton size 6/6 tsh 22500,shuka 2 foronya 4 size 8/8 tsh 40000,Net kubwa za vyuma 65000,blanket 35000,pazia nk.Duka...
1 Reactions
2 Replies
11K Views
Salam JF, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Mimi ni mbunifu wa Applications mbalimbali za simu na smart devices nyingine kwa ajili ya kuboresha na kurahisisha maisha ya watu na pia ili kwenda...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndug wana jf naomba kujuzwa kuhusu dawa zuri ambayo inaweza kusaidia kutuliza maumivu ya miguu .. Bimukubwa wangu anasumbuliwa na maumivu ya miguu nimejarkbu kutumja dawa za hosptali pasipo...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Haya wadau, Naachia gari aina ya Subaru Legacy Station Wagon, gari hii ina spare za kutosha Arusha, Dar, Mwanza. Na inashea spare na Baja, Impreza, Wrx na Forester kuanzia za miaka ya 90 mpaka...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Nina shida na gari yakuendea job mimi ni mwalimu. Bajeti yangu ni 3.5 tu niko DSM.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
]
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Mahali ni KILWA ROAD mwandege CHATEMBO, (Mbele ya mbagala kongowe dsm,nyuma ya kiwanda cha bakhresa) Ukubwa ni ft 50×50 Bei ni milion mbili tu- 2,000,000/= Wote mnakaribishwa,, Wahi mapema...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kwa atakae weza au kama unashamba maeneo hayo naomba tuwasiliane 0676051093
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama kuna mtu anauwezo wa kuweka games za ps3 DODOMA Ani PM tufanye business
0 Reactions
3 Replies
888 Views
Jamani wadau habari za kazi? Poleni na majukumu samahani naomba kuuliza ama kujuzwa kuhusu hiki chuo cha eckenford tanga university inst of health science,je kinatambuliwa na nacte? Yaani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jf nlikuwa nahitaji kimono kirefu kwa wale wauzaji wa vimono waliopo dar temeke naomba wanichek pm
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari, Nina mbao 12(4 by 2) za mti wa mtiki ambazo nilipewa na bosi wangu ambae huwa ana export mbao hizi. Zina urefu wa futi 8 . Bei ubao mmoja 25000. Karibuni.
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Tunauza tablets za watoto Age : 3-16 years 7-inch preloaded with -educational materials -games -cartoons and other children apps -it has parental control -comes with charger, well designed...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wakuu! Nina uhitaji wa haraka wa used flat screen ya inch 50 kwa budget ya shs laki tano, yes 500,000/= please pm me!
1 Reactions
19 Replies
1K Views
natafuta wa kubadilishana kituo.idara afya
0 Reactions
2 Replies
731 Views
Wakuu, nahitaji kujua nawapato vipi hawa jamaa, nimepata taarifa kuwa ukihitaji gesi ya Kupikia wanakufikishia popote Dar es salaam. Kama kuna mtu ana contacts Plz anisaidie.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
+255 657 685 268 WhatsApp! Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha! 1 chumba master 2 vyumba vya kawaida Sebure, Dining, jiko na...
1 Reactions
3 Replies
8K Views
Back
Top Bottom