Salam JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Mimi ni mbunifu wa Applications mbalimbali za simu na smart devices nyingine kwa ajili ya kuboresha na kurahisisha maisha ya watu na pia ili kwenda...
Ndug wana jf naomba kujuzwa kuhusu dawa zuri ambayo inaweza kusaidia kutuliza maumivu ya miguu .. Bimukubwa wangu anasumbuliwa na maumivu ya miguu nimejarkbu kutumja dawa za hosptali pasipo...
Haya wadau, Naachia gari aina ya Subaru Legacy Station Wagon, gari hii ina spare za kutosha Arusha, Dar, Mwanza. Na inashea spare na Baja, Impreza, Wrx na Forester kuanzia za miaka ya 90 mpaka...
Mahali ni KILWA ROAD mwandege CHATEMBO,
(Mbele ya mbagala kongowe dsm,nyuma ya kiwanda cha bakhresa)
Ukubwa ni ft 50×50
Bei ni milion mbili tu- 2,000,000/=
Wote mnakaribishwa,,
Wahi mapema...
Jamani wadau habari za kazi? Poleni na majukumu samahani naomba kuuliza ama kujuzwa kuhusu hiki chuo cha eckenford tanga university inst of health science,je kinatambuliwa na nacte? Yaani...
Habari,
Nina mbao 12(4 by 2) za mti wa mtiki ambazo nilipewa na bosi wangu ambae huwa ana export mbao hizi.
Zina urefu wa futi 8 .
Bei ubao mmoja 25000.
Karibuni.
Tunauza tablets za watoto
Age : 3-16 years
7-inch preloaded with
-educational materials
-games
-cartoons and other children apps
-it has parental control
-comes with charger, well designed...
Wakuu,
nahitaji kujua nawapato vipi hawa jamaa, nimepata taarifa kuwa ukihitaji gesi ya Kupikia wanakufikishia popote Dar es salaam. Kama kuna mtu ana contacts Plz anisaidie.
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.