Toyota Alteza SXE model 2000cc 4cylinder engine gray&silver and Carina Ti 1500cc Used from Japan on sale.
for more contact please use watchesandmobile@gmail.com.
Altezza is 14M TSHS
Carina is...
karibuni kwa waliopo dar es salaam, nauza dagaa wa kigoma wazuri wasio na mchanga kwafungu ya 2500, 5000, na 10000 kwa anaehitaji piga simu 0654574224, 0764192746.
napatikana buza sigara, na pia...
Habari zenu wakuu
Nahitaji kabati la kuuzia chips, liwe kubwa kiasi na sio kidogo litakaloweza kubeba, chips, kuku, mishikaki na kachumbali na vinginevyo
Liwe na sehemu mbili i meab juu na chini...
MAKE YOUR CHILD GREAT!
KONGAMANO……..KONGAMANO……….KONGAMANO
Ndugu Watanzania, MWANAFUNZI CLINIC kwa kushirikiana na WAPO MISSION tunawaletea kongamano kubwa la kielimu, 24 June, 2017.
SI LA...
Wadau heshima kwenu.
Natafuta msambazaji 'authorised dealer' ili aniuzie vifaranga genuine aina tajwa hapo juu. Nataka wakala maana sitaki kununua vya mtaani ambayo unakata vipo kwenye stage ya...
Mabati migongo
midogo(corrugated)upana wa 86cm ya rangi
gauge28 ni 8,700/meter
gauge30 ni 7,600/meter
-Material aluzinc
-Rangi,green,brick red,charcoal gray,b-white,blue,sea blue,tile red...
Natafuta gari aina ya Land Cruiser macho panzi.
Iwe kwenye hali nzuri.
Kwa maongezi zaidi napatikana kwenye namba hizi:
+255 624 593 778
+255 719 718 017
Ni Gari iliyokamilika viwango vyote ni Nissan caravan kwa ajili ya abiria/wanafunzi/kukoishwa kwa maongezi zaidi karibuni pm au hapa kwenye jukwaa.
Nawasilisha!
Habari wana jf,pikipiki aina ya San lg yenye umru wa mwaka mmoja lakini imetembea barabarani miezi saba tu na miezi mingine yote ilikuwa imekaa ndani bila ya matumizi
Bei ni shillingi Millioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.