Tunakopesha (dhamana Gari)

Riba zenu zikoje? Yani ile kama nakopa 6m ninalipa ngapi kama nimekopa kwa 2yrs... maana zile % mnazopiga kwa mwezi hua mnatudanganya mnasema ni 18% wkati ukipiga hesabu mwishoni unapata 50%
 
Vipi kama sina gari?
Nina mke mzuri ana chura je naweza kumweka yeye kama dhamana?
Au kwa mfano mie nauzaga majeneza naweza kuweka hata kontena moja ya majeneza kama dhamana.?

Biashara ya majeneza hulali njaaa. Hayaozi na yanatoka kila siku. Ukiwa muuzaji mzuri huitaji hata mkopo....
 
Biashara ya majeneza hulali njaaa. Hayaozi na yanatoka kila siku. Ukiwa muuzaji mzuri huitaji hata mkopo....
Nahitaji mkopo halafu eti benki wananiuliza nataka pesa ili nifanyie nini nikawajibu nahitaji kukuza biashara yangu,
Walipokuja kukagua wakakuta nina stock ya majeneza zaidi ya elfu mbili eti jamaa(afisa mikopo)
anauliza "unakopa pesa ya nini wakati una mzigo mkubwa tu unaosubiri kuuza"
Nikamjibu nakopa ela ili nipanue mradi ikiwemo kuanzisha mradi wa makaburi ya kulipia.!
Jamaa hawana hamu tena na mimi waliondoka hata bila kuaga nahisi mzigo waliouona stoo umewatisha.
Eti mtu mzima unaogopa jeneza wakati ukifa unalala peke yako humo.mmthhuu.!!!
 
Nahitaji mkopo halafu eti benki wananiuliza nataka pesa ili nifanyie nini nikawajibu nahitaji kukuza biashara yangu,
Walipokuja kukagua wakakuta nina stock ya majeneza zaidi ya elfu mbili eti jamaa(afisa mikopo)
anauliza "unakopa pesa ya nini wakati una mzigo mkubwa tu unaosubiri kuuza"
Nikamjibu nakopa ela ili nipanue mradi ikiwemo kuanzisha mradi wa makaburi ya kulipia.!
Jamaa hawana hamu tena na mimi waliondoka hata bila kuaga nahisi mzigo waliouona stoo umewatisha.
Eti mtu mzima unaogopa jeneza wakati ukifa unalala peke yako humo.mmthhuu.!!!
Mmmh
 
Riba zenu zikoje? Yani ile kama nakopa 6m ninalipa ngapi kama nimekopa kwa 2yrs... maana zile % mnazopiga kwa mwezi hua mnatudanganya mnasema ni 18% wkati ukipiga hesabu mwishoni unapata 50%
Wakikwambia riba ni 18% unapaswa kuuliza ni monthly au annually?
 
Nahitaji mkopo halafu eti benki wananiuliza nataka pesa ili nifanyie nini nikawajibu nahitaji kukuza biashara yangu,
Walipokuja kukagua wakakuta nina stock ya majeneza zaidi ya elfu mbili eti jamaa(afisa mikopo)
anauliza "unakopa pesa ya nini wakati una mzigo mkubwa tu unaosubiri kuuza"
Nikamjibu nakopa ela ili nipanue mradi ikiwemo kuanzisha mradi wa makaburi ya kulipia.!
Jamaa hawana hamu tena na mimi waliondoka hata bila kuaga nahisi mzigo waliouona stoo umewatisha.
Eti mtu mzima unaogopa jeneza wakati ukifa unalala peke yako humo.mmthhuu.!!!
walihisi umetoka kuzimu,maana biashara zako zinatisha
 
Nahitaji mkopo halafu eti benki wananiuliza nataka pesa ili nifanyie nini nikawajibu nahitaji kukuza biashara yangu,
Walipokuja kukagua wakakuta nina stock ya majeneza zaidi ya elfu mbili eti jamaa(afisa mikopo)
anauliza "unakopa pesa ya nini wakati una mzigo mkubwa tu unaosubiri kuuza"
Nikamjibu nakopa ela ili nipanue mradi ikiwemo kuanzisha mradi wa makaburi ya kulipia.!
Jamaa hawana hamu tena na mimi waliondoka hata bila kuaga nahisi mzigo waliouona stoo umewatisha.
Eti mtu mzima unaogopa jeneza wakati ukifa unalala peke yako humo.mmthhuu.!!!

We kiboko! naona mabenker hawana hamu na wewe tena! Biashara yako nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom