Nahitaji iPhone 6S plus 32 au hata 64 GB clean as new and in good condition kwa mwenye nayo aje inbox na offer iliyonyooka tumalize biashara
Niko Dar es salaam
viwandani,supermarket,migahawani,shell za oil,makampuni na taasisi....maduka ya dawa na maduka ya jumla...bars na nights clubs. wafanyakazi na wahudumu wanahitajika....
Piga 0753014359 kuwasiliana...
Kwa wale wanaotaka kufanya maombi na kufungua email address pamoja na kuchagua kozi nzuri kulingana na matokeo yao.
Tuwasiliane whatsap no. 0758-494651
Natafuta kiwanja cha kununua ambayo hakina migogoro na ikiwezekana chenye hati miliki. Ukubwa kuanzia 1200sqm . Bei isizidi 10M. Mwenye nacho naomba ani PM haraka. Nategemea majibu mazuri hasa...
Sasa udongo wa Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Singida. Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote.
Kwa maelezo zaidi usome hapa (bofya link)...
Sasa udongo wa Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Shinyanga. Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote.
Kwa maelezo zaidi usome hapa (bofya link):
Kwa wanaume na wanawake...
Kina ofa, matumizi yake ni kujenga shule ya sekondari,
ingawa unaweza kubadili matumizi yake kufuatana na unavyotaka.
Ukubwa ni Sqm 51207 ni ekari 12. Kwa mawasiliano pigs 0754 319 861 na 0715...
Habari wanaJF. Napenda kuwajulisha wale ambao wangependa kuuza/kusambaza, huduma/bidhaa zao kwa kuletewa wateja mahali popote Tanzania, Karibu tukutangazie kwa bei ya maelewano baada ya...
Habari wandugu.
Nina connection na watu marafiki zangu waliopo UK na tumeanzisha importation ya magari toka UK.
Magari yote hukaguliwa na mechanical specialist na kuwa authorized.
Ukitaka gari...
Jamani nina Chokaa safi kutoka Amboni Tanga.
Kwa yeyote anaehitaji iwe kwa jumla ama rejareja naomba tuwasiliane.
Natanguliza shukurani kwenye number hio hapo 0657 556692.
Habarini za asubuhi wanajamvi!
Nauza karanga zilizosagwa a.k.a Peanut butter!
Hizi zina faida nyingi sana kiafya! Karibuni kwa wanaohitaji.
Nicheck kwa namba hii hapa chini;
0621 002 220
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
Habarini wana jamii wenzangu natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kuanzia ubungo adi kibamba jinsi nyumba navyotaka iwe iwe na chumba kimoja cha kulala self na sitting room kubwa na jiko bajeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.