Wataalamu wa majiko ya Gas nitapata wapi haya majiko?

Wataalamu wa majiko ya Gas nitapata wapi haya majiko?

Shedangio

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
448
Reaction score
170
Naomba kujua wapi nitapata ina hizi za majiko ya gas
1.Geepas
2.Techsonic
3.Von Hot Point.
 
Haya majiko ni ya Coil yale ambayo juu ni kama nyavu fulani ivi likiwaka huwa kama jiko la umeme.
 
nenda mlimani city kuna duka la von hot point linaangaliana na vodashop wanamajiko ya von hotpoint aina zote
 
nenda mlimani city kuna duka la von hot point linaangaliana na vodashop wanamajiko ya von hotpoint aina zote
Ni majiko Imara sana na kuna wateja wanayahitaji mkuu.
 
Picha na kwann unayahitaji!
65789ca7104ad4caccad4619e6bd9974.jpg
 
Naomba kujua wapi nitapata ina hizi za majiko ya gas
1.Geepas
2.Techsonic
3.Von Hot Point.
Majiko ya Geepas unaweza kupata mtaa wa Makunganya kule posta mpya, kuna duka la Ms. Megji wanauza. Pembeni kidogo ya sanamu ya askari
 
Samahanini naomba mnisaidie na Mimi kwa jiko kama hilo lenye nyavu ni bei gani? Pili ubora ukoje?Naona kuna nyavu je ukiliwasha moto unawaka kama majiko mengine au YENYEWE yanakuaje? Je uharaka wa kiivisha chakula ukilinganisha nayale mengine ukoje? MF, kama unapika maharage kwenye majiko Yale mengine na hili lipi litakaloivisha haraka?
 
Samahanini naomba mnisaidie na Mimi kwa jiko kama hilo lenye nyavu ni bei gani? Pili ubora ukoje?Naona kuna nyavu je ukiliwasha moto unawaka kama majiko mengine au YENYEWE yanakuaje? Je uharaka wa kiivisha chakula ukilinganisha nayale mengine ukoje? MF, kama unapika maharage kwenye majiko Yale mengine na hili lipi litakaloivisha haraka?
Ubora wake mkubwa ni kwwnye matumizi ya gas na pia hayana oshi kabisa yana waka kama jiko la uneme kama ushaawahi kutumia Infared cooker la umeme.
 
Hata me nimeyapenɗa mkuu ukipata tpe mrejesho wa bei ya jumla
 
Back
Top Bottom