Wakuu habari, kama title inavyosema ninahitaji mtu yeyote ambae atakuwa anapata tabu niwapi atapata msimamizi wa shamba lake Kwa shughuli za kulima, palizi, kupulizia dawa na mavuno mkoa wa...
Jaman narudia kutangaza tena fursa mpya ya mkopo kwa watumishi wa serikali pesa zao zinazopitia hazina,vigezo ni rahisi unachotakiwa wwe ni kuwa na copy ya
Hii offer ni kwa watumish wa...
Jaman narudia kutangaza tena fursa mpya ya mkopo kwa watumishi wa serikali pesa zao zinazopitia hazina,vigezo ni rahisi unachotakiwa wwe ni kuwa na copy ya
Hii offer ni kwa watumish wa...
Habarini wakuu
Leo nmenunua decoda ya startimes kile cha dish ila nna swali flan
Je nikipata yale madish ya analogy yenye njia mbili naeza tumia dish moja na mwingine mwenye decoda ya continental?
*Green agriculture soil test package*
Kama ilivyo kwa binadamu na wanyama pale unapokula chakula chenye virutubisho bora na vivyo hivyo mwili wako unvyozid kunawiri vizuri, je? Ili mimea ikue vzr...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
Nna simu tajwa hapo juu zote zimekufa display nahitaji fundi anibadilishie ili niweze kuzitumia.
Contact +255625511803 kama ww ni fundi unipe gharama na mahali ofisi yako ilipo nikuletee.
Niko Dsm.
Habari Wakuu,
Ninauza Rollers za Drip Irrigation,
Ziko jumla 4 @ Tshs 250,000/= each,
Urefu wa kila Roller ni 1,500metres,
Emitter spacing ni 30cm & 50cm interval.
Kwa kila Roller 1 utapata...
Hi.
ninatengeneza Matangazo ya redio/audio na pia ya Video/TV kwa gharama nafuu. tangazo linaweza kuwa la biashara yako, bidhaa, huduma au ofisi yako. kwa gharama nafuu mno. haijalishi upo wapi...
*price 110,000/=
*Brand new (ziko sealed kabisa)
*its universal(zinasupport mitandao yote Tanzania kwa 2G,3G and 4G isipokua smart 4G).
*support up to 10 devices(smartphones,laptops,etc)
*can be...
Nina spare nyingi za bajaji za two stroko nipo tunduma hapa kwasasa kunabajaji aina ya tvs so nilikuwa ninaomba kwa yeyote anayejua sehem ambayo hizi bajaji zinazotumia two stroke zinapopatikana...
YaraMila WINNER, mbolea hususani kwa ajili ya mboga mboga na matunda. Mbolea hii inavirutubisho zaidi ya 6 kwa uiano unaohitajika kwenye mboga mboga na matunda. Ili kujifuza zaidi piga...