Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,622
- 33,490
Habari za jumapili wapendwa?....................
Nakusanya kibubu na mimi nijiajiri,.........................
Biashara ninayotaka kuifanya; ni ya kuchapisha matangazo,ya kawaida sio yale makubwa,................
Ningependa kujua,natafuta printers zipi?lol naona zimejaa kibao.......................
Kwa wale ambao wameshawahi kuifanya hii biashara,nini changamoto zake?
Nakusanya kibubu na mimi nijiajiri,.........................
Biashara ninayotaka kuifanya; ni ya kuchapisha matangazo,ya kawaida sio yale makubwa,................
Ningependa kujua,natafuta printers zipi?lol naona zimejaa kibao.......................
Kwa wale ambao wameshawahi kuifanya hii biashara,nini changamoto zake?