Karanga: Masoko na Upatikanaji!

Karanga: Masoko na Upatikanaji!

Slim5

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
28,441
Reaction score
38,417
Salamu wadau!

Naomba tujuzane hali ya soko la Karanga kwa sasa pamoja na upatikanaji wake Maeneo mbali mbali ya Jamhuri yetu. Kwa wajuzi naomba watuwekee na bei, na pia wabainishe kama hiyo bei ni ya shambani ama sokoni!

Kwa kuanzia, mi nawadokeza Bei ya Karanga Nyekundu kwa baadhi ya Masoko ya Jijini DSM kuwa inacheza kati ya TShs 3000-3800 kwa Kg.

Naomba kuwasilisha!
 
karanga nyeupe kg 1 sh 3000 morogoro soko la mawenzi...
 
Back
Top Bottom