Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama kichwa cha habari kilivyo, Nahitaji simu isiyozidi sh 220,000. Ni simu gani mpya (tecno, infinix, huawei au bland nyingine) naweza kuipata kwa pesa hiyo dukani?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za muda huu wakuu? Mdogo wangu wa kike ananisumbua anataka nimnunulie smart phone. Nimemuahidi nitamnunulia, ila naomba mnishauri ni smart phone gani nzuri nzuri naweza nikamnunulia dogo...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Anaeuza tecno phantom 6 plus used anichek PM. Nahitaji.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Gari IPO kwenye hali nzuri utakuja na fundi wako ai test kabisa, npo dar
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Muhimu iwe ktk good condition na bei inayolizisha. Kwa hapa dar au dodoma itakuwa vizuri zaidi kwa sababu ya logistics, ila ata kama ni nje ya hapo si vibaya kunicheck pia. pm me au hola hapa chini
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naitaji kingamuzi cha azam kama kuna mtu anauza!! Natanguliza shukrani! Bei isiwe juu sana!!! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
846 Views
Kwa anae hitaji kuku aina ya Kuchi anaweza akani PM ili tuweze kufanya biashara, kwa huku Geita vijijini wapo wengi sana kuku wa aina hii.
1 Reactions
18 Replies
10K Views
Habari zenu wakuuu..... Napenda kuwatangazia tunauza mashine mpya na imara za kusagia karanga.Hizi hazitumii umeme ni nguvu ya mkono wako tu.Tunauza elfu 45 za kitanzania. TUNAPATIKANA...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
  • Poll Poll
Tatizo hili la kuwa na maumbile madogo limekuwa likiwakosesha raha na kuwanyima usingizi wengi, kwani huhofia hata kujiingiza kwenye mahusiano kwa kuogopa fedheha, hali inayopelekea wengi...
6 Reactions
44 Replies
12K Views
whatsapp/sms: 0682662558 : Post sent using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
739 Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naomba kujuzwa wapi nitapata soko la vitunguu saumu vya jumla. Namba yangu ni 0715641681 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Salaam, Husika na kichwa cha habari hapo juu. Utaratibu ni kwamba, Unanipa oda ya gari unalolipenda, ninakupa makadirio ya kodi hadi gari kuwa barabarani. Ukirithika, unafanya malipo! Na...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Mtu anayeenda kanda ya ziwa kutoka dar weekend hii na private,mteja nipo hapa nitachangia pesa ya mafuta. NB:mi ni dereva pia tunaweza kusaidiana.
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
0 Reactions
1 Replies
780 Views
Gari hii inauzwa kwa maelezo zaidi nifuate inbox,najua kuna kejeli ila nitazivumilia tu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Nahitaji Nyumba ya kununua maeneo ya Mbagala, Kitunda, madale gogolamboto,pugu na maeneo mengine yasiwe mbali na mjini. Asanteni
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wadau wa Jf nasafiri kutoka Dar kwenda kahama kwa mara ya kwanza lakin nahtaji kujua wap nitapata gest za bei cheap mana nafka usku.........ikiwezaka kuwe na..... Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
19 Replies
5K Views
MAMBO 10 YA KUZINGATIA ILI UWE NA WEBSITE YAKO Sehem ya 1 ~ Pacoster ICT Center
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naomba mwenye kujua Lodge ambayo naweza kufikia pale Kyela ambayo haiko mbali na stand. Isizidi 20k. Kama nitapata mawasiliano kwa ajili ya booking sio mbaya. Asanteni Post sent using...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…