Wadau wa Jf nasafiri kutoka Dar kwenda kahama kwa mara ya kwanza lakin nahtaji kujua wap nitapata gest za bei cheap mana nafka usku.........ikiwezaka kuwe na.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomba mwenye kujua Lodge ambayo naweza kufikia pale Kyela ambayo haiko mbali na stand. Isizidi 20k. Kama nitapata mawasiliano kwa ajili ya booking sio mbaya.
Asanteni
Post sent using...
Habari wanajukwaa, nahitaji kununua simu kama kuna mwenye simu mpya au used(lakini iwe katika hali nzuri).
Bei yake i-range kati ya 160,000- 180,000.
Niko Bukoba.
Tupo nanenane morogoro barabara ya kuelekea tungi karibu na pentagone geust house
Tunauza kwa jumla na lejaleja
KARIBUNI SANA.
Sent from my TECNO-W3LTE...
Wajomba habarini za kazi
Naomba kujuzwa vinapopatikana vifaa vya greenhouse (isiwe balton) au utaratibu wa kuagiza vifaa hivyo kutoka nchi jirani ya kenya.
Ahsanteni
nyumba ipo kitunda frolida barabara ya ng'ombe karibu na kanisa la rama na ina vyumba viwili vya kulala, choo ya ndan,jiko, na uwanja wa parking kwa mawasiliano piga namba 0769073239
Sent from my...
Waungwana, ni kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kioo cha kifaa tajwa kimepata mushkeli. Wapi na kwa bei gani naweza kupata kioo cha kifaa husika?
Naombeni msaada wenu wakuu
Sasa unaweza kupata maji safi na salama kutoka kwenye chanzo chako cha maji.
Portable water filter, inafanya kazi ya kuchuja maji,inaondoa bacteria,minyoo/wadudu,kutu, vumbi, mchanga,tope...
Pata dagaa safi kutoka Mwanza, ni wakubwa na wameandaliwa kwa ustadi na unadhifu, unaweza kununua kwa matumizi ya nyumbani (mboga) au kwa biashara.
Tunauza kwa bei ya jumla na rejareja pia,
BEI...
Nauza kinu cha mashine ya kusaga, nilichongesha sido kwa ajiri ya kuanzisha biashara ya kusaga, sijawah kukitumia Kuna emergency nimeipata,, ambaye yupo interested anicheki
Post sent using...
Mkopo binafsi wa TZS 5M unahitajika.
Marejesho yatakuwa ni 10M ndani ya miezi minne.
Dhamana ni kiwanja chenye Hati ya Serikali ya Mtaa kilichopo Tegeta, Salasala karibu na kwa Kombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.