Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

(1)Ninzuri sana kimuonekano na hata kiufanisi wa kazi.. (2)Imetumika miezi kadhaa ila bado ipo kwenye ubora wake.. (3)Inakaa na chaji na wala haina tatizo lolote.. (4)Inaukubwa wa inches 6.3...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam Ninatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya kujenga maeneo ya mbezi kimara, mbezi beach, boko, bunju. Size kwanzia 20x30 kwenda juu... Kama upo weka bei mezani tuongee
0 Reactions
2 Replies
850 Views
Transportation [Local & International ] and supplies of all kinds of building materials Head office Plot no:620 block A Buguruni area Ilala Dar es salaam Contact [emoji336] +255762525846...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,kwa mwenye uhitaji wa nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili na sebure ambapo kimoja wapo ni master pia inajiko na choo cha nje ipo ndani ya uzio maji na umeme vipo bei kwa mwezi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Sabuni Zimetengenezwa kwa mbosa zinauzwa. Zimetengenezwa kwa ubora. Matumizi ya wakubwa na watoto Huondoa miwasho. Vishilingi mwilini. Fangasi na uti ya nje. Bei kuanzia 1300/=
0 Reactions
4 Replies
919 Views
Karibu na NMB Bei 80,000 per month malipo kuanzia miezi 3 0713715772
1 Reactions
1 Replies
805 Views
update: MZIGO UMEINGIA KWA WALE WALIOKUWA WANAHITAJI SPY PEN ZIMESHAKUJA NA ZIMEKUJA ZA GB 8 BEI IMEZIDI KIDOGO TU NI SHS 55,000 TSHS wahi ujipatie yako sasa Features & Specification An amazing...
1 Reactions
40 Replies
7K Views
Mtungi Wa ORXY kg 30.6 na JIKO la plate 2 completely vinauzwa. Mahali vilipo; Kimara Bei vyote; 120,000 mtungi hauna gesi na jiko lipo kwenye ubora mzuri sana.Pia pipe yake ipo. 0716927054...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama ni used nianze mwenyewe hapa Bongo. Kama iko sehemu yeyote Tanzania bara na Visiwani Nitaifuata mimi mwenyewe Kama inakulipa tufanye biashara Porojo sijui za njoo uchukue vimbinyo vyenu hvyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
GAUGE(units of thikness) Ni neno ambalo huwezi kulikwepa pale unapoulizia bei ya bati,gauge(unit of thikness of a metal sheet or wire,unene wa coil ya bati,hii ni moja ya sababu kubwa ya kwanza...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Kwa wale tu wanaotaka kupata elimu na kununu bati la sunshare tukutane kwa group. Kwa walio serious tu wanataka kujua bati la sunshare basi,si group la watu kufanyia matangazo yao Tukutane hapa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Make : Toyota Model : Allion Mileage : 43,000km Engine size: 1,800cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2008 Doors : 4 Seats : 5...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
habari wanajamvi... samahani kwa yeyote mwenye uzoefu na soko la Tangawizi naomba anisaidie maelezo au kama ni muhitaji Wa Tangawizi pia tuwasiliane hapa au niPM
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nina tangawizi iliyo shambani, imekomaa vizuri. Shamba ni heka 1. Kwa mteja aliye tayari kwa bei ya 3,000ths /kilo, tuwasiliane ili mavuno yafanyike. 0765101107
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari za leo. Kwa yeyote ambae ni mkazi wa arusha anaefahamu sehemu ambapo kunauzwa viwanja naomba anijulishe. Asanteni ningependa zaidi kama mtu atanipm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mkuu wa Zantel-Zanzibar, Mohamed Khamis Mussa maarufu kwa jina la Baucha akizungumza katika hafla ya kupata futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wafanyakazi wa Kampuni hiyo mwishoni mwa juma mjini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama kuajira mpya tujulishane
0 Reactions
1 Replies
714 Views
Simu mupyaaaa kabisa ina week tu ni Tecno w5 kwa bei ya sawa na bureeeee nipe 200k tu nakuachia au Kama kuna mtu ana Tecno w3 basi tubadilishane aniongezee mkwanja nimepata ka-emegerncy kidogo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habr wanajamvi, naomba kujuzwa gharama za kupiga picha kwa picha chache na nyingi na kwa size ya 5 by 7 6 by 8 8 by 12 (A4) Kwa zile ambazo hazija editiwa na zile za kueditiwa. Asante sana
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Msaada mama kuna mtu anajua web ya ajira tujulishane
0 Reactions
1 Replies
744 Views
Back
Top Bottom