(1)Ninzuri sana kimuonekano na hata kiufanisi wa kazi..
(2)Imetumika miezi kadhaa ila bado ipo kwenye ubora wake..
(3)Inakaa na chaji na wala haina tatizo lolote..
(4)Inaukubwa wa inches 6.3...
Salaam
Ninatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya kujenga maeneo ya mbezi kimara, mbezi beach, boko, bunju. Size kwanzia 20x30 kwenda juu...
Kama upo weka bei mezani tuongee
Transportation [Local & International ] and supplies of all kinds of building materials
Head office
Plot no:620 block A
Buguruni area
Ilala Dar es salaam
Contact
[emoji336] +255762525846...
Habari zenu wakuu,kwa mwenye uhitaji wa nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili na sebure ambapo kimoja wapo ni master pia inajiko na choo cha nje ipo ndani ya uzio maji na umeme vipo bei kwa mwezi...
Sabuni Zimetengenezwa kwa mbosa zinauzwa. Zimetengenezwa kwa ubora.
Matumizi ya wakubwa na watoto
Huondoa miwasho. Vishilingi mwilini. Fangasi na uti ya nje.
Bei kuanzia 1300/=
update:
MZIGO UMEINGIA KWA WALE WALIOKUWA WANAHITAJI SPY PEN ZIMESHAKUJA NA ZIMEKUJA ZA GB 8 BEI IMEZIDI KIDOGO TU NI SHS 55,000 TSHS wahi ujipatie yako sasa
Features & Specification
An amazing...
Mtungi Wa ORXY kg 30.6 na JIKO la plate 2 completely vinauzwa.
Mahali vilipo; Kimara
Bei vyote; 120,000
mtungi hauna gesi na jiko lipo kwenye ubora mzuri sana.Pia pipe yake ipo.
0716927054...
Kama ni used nianze mwenyewe hapa Bongo.
Kama iko sehemu yeyote Tanzania bara na Visiwani
Nitaifuata mimi mwenyewe
Kama inakulipa tufanye biashara
Porojo sijui za njoo uchukue vimbinyo vyenu hvyo...
GAUGE(units of thikness)
Ni neno ambalo huwezi kulikwepa pale unapoulizia bei ya bati,gauge(unit of thikness of a metal sheet or wire,unene wa coil ya bati,hii ni moja ya sababu kubwa ya kwanza...
Kwa wale tu wanaotaka kupata elimu na kununu bati la sunshare tukutane kwa group.
Kwa walio serious tu wanataka kujua bati la sunshare basi,si group la watu kufanyia matangazo yao
Tukutane hapa...
Make : Toyota
Model : Allion
Mileage : 43,000km
Engine size: 1,800cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2008
Doors : 4
Seats : 5...
habari wanajamvi...
samahani kwa yeyote mwenye uzoefu na soko la Tangawizi naomba anisaidie
maelezo au kama ni muhitaji Wa Tangawizi pia tuwasiliane hapa au niPM
Nina tangawizi iliyo shambani, imekomaa vizuri. Shamba ni heka 1. Kwa mteja aliye tayari kwa bei ya 3,000ths /kilo, tuwasiliane ili mavuno yafanyike.
0765101107
habari za leo. Kwa yeyote ambae ni mkazi wa arusha anaefahamu sehemu ambapo kunauzwa viwanja naomba anijulishe. Asanteni ningependa zaidi kama mtu atanipm
Mkuu wa Zantel-Zanzibar, Mohamed Khamis Mussa maarufu kwa jina la Baucha akizungumza katika hafla ya kupata futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wafanyakazi wa Kampuni hiyo mwishoni mwa juma mjini...
Simu mupyaaaa kabisa ina week tu ni Tecno w5 kwa bei ya sawa na bureeeee nipe 200k tu nakuachia au Kama kuna mtu ana Tecno w3 basi tubadilishane aniongezee mkwanja nimepata ka-emegerncy kidogo...
Habr wanajamvi, naomba kujuzwa gharama za kupiga picha kwa picha chache na nyingi na kwa size ya
5 by 7
6 by 8
8 by 12 (A4)
Kwa zile ambazo hazija editiwa na zile za kueditiwa. Asante sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.