Naiamini sana Jf, km unashida hapa ndo mwisho wake majibu lazima uyapate.
Naomba kujua yalipo maduka ya jumla au mwenye kufanya hyo biashara hapo kariakoo.
Aje PM, tufanye biashara. Ninahitaji hyo...
Hi,
I am in need of the attached lockable cabinet for Video Conferencing room. If you have or know where to find it, please PM me.
Many of those I have found in the furniture shops here in DSM...
Stoo/Ofisi/Fremu zinapangishwa, jirani na Sabasaba Maonyesho.
Kwa kipindi hiki cha matayarisho ya maonyesho ya Sabasaba unaweza
kuwa unahitaji Stoo/Ofisi ama Fremu kwa ajili ya bidhaa/biashara...
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA ZA (NYARAKA MBALIMBALI)
-BUSINESS PLAN(mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00...
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA ZA (NYARAKA MBALIMBALI)
-BUSINESS PLAN(mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00...
Na computer mbili(desktop) moja ina waka na kuzima muda huo huo na saa nyingine haiwaki kabisa ukiachana kwa muda inawaka ikiaribia ku boot inazima, ukirudia tena ndio haiwaki, ya pili ina...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
Eneo lipo Kaole Bagamoyo
Ukubwa ekari 10
kiasi 70million.
kwa maelezo zaidi njoo Pm au uliza hapa hapa.
Kwa wanaoyajua hayo maeneo kwa bei hiyo ni sawa na kuokota dodo kwani kabla hali haijawa...
Wakuu amani kwenu! Kama title ilinavyodadavua, Mimi ni kijana wa miaka 28 (me) Nina shahada ya Elimu ya Saikolojia (hons) ya udsm.
Nimewahi kufundisha part time Tabota TTC, Ekernforde Tanga...
Habari wadau wa ujenzi iwe muuzaji au mnunuaji wa vifaa vya ujenzi uzi huu ni mahususi kwa ajili ya vifaa vya ujenzi
mimi nauza na kusambaza vifaa vya ujenzi ningependa kuwaletea uzi huu kwajili...
Wadau habari ya asubuhi?
Mwenzenu nategemea kufungua stationery hivi karibuni na namshukuru Mungu nishapata mlango na nishaanza kuufanyia modifications ili ukae kistationary.. lkn changamoto...
Ramani za nyumba bora zinapatikana kwa bei ndogo sana na pia tunaweza kumshirikisha mteja wetu wakati wa utengezaji,tafadhari wasiliana nasi kwa simu namba 0625904597
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.