Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nissan Patrol Mwaka 1988 Manual Injini TD42 Cc 1838 Mileage 437934 Ac inafanyakazi Gari inahitaji kubadilishwa piston ring lakini inawaka na kutembea Bei Tzsh 4,000,000/= Gari ipo Tanga mjini...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Lipo eka 5 Bei ni million 8 na nusu Aina ya Miti iliyopandwa ni pine Miti ina umri Wa miaka 6 Kwa mawasiliano nipigie 0764426929,0655726929 na0742188846 Napatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoan...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu namtafuta huyo muhusika, au kama kuna mtu anaweza tengeneza hiyo tovuti anicheki 0716978592
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Wakuu habari zenu,natumai hamjambo. Naomba kujua mwenye dondoo kuhusu soko la maziwa fresh. Nina chanzo cha kuaminika kusupply kati ya lita 80 hai 100 k2a siku Sent from my SM-A510F using...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Make : Subaru Model : Legacy B4 Mileage : 112,090km Engine size: 2000cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2005 Doors : 4 Seats...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ibm Lennovo, core i5, RAM 8GB, HDD 500GB iko vema sana. Bei 450000(maongezi yapo) call 0762295954/0713794962
0 Reactions
9 Replies
798 Views
Salaam wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji Tv flat screen iwe used au mpya ila bei yake isizid laki moja na ishini za kitanzania(Tsh.120,000/=) size yake itategemea ila ni vizur...
0 Reactions
14 Replies
45K Views
Jipatie kitabu cha kujifunza kuongea lugha kichina ndani ya week mbili kwa kutumia lugha ya kiswahili na kiingireza,ni kitabu na CD,bei sh.10,000 tu.piga simu kwa mahitaji au kuwekeza 0757464131...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa hili, Heshima zenu wakuu. Mimi nimelima ufuta wangu na nimevuna sasa natafuta soko lilipo popote pale. Naomba msaada wenu tafadhali. Natanguliza shukrani
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ninauza ufuta yoyote anaejua wanunuzi wachina au wengine wowote wanaotoa bei nzuri anijulishe maramoja. 0754524206
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji kununua marine board 100 pcs zilizotumika mara moja za 18mm ex China. Offer:Tshs.15,000 kwa pc. Kama unazo ni pm au piga 0769776598
0 Reactions
1 Replies
823 Views
Nahitaji lenses ya camera ya Nikon D3200 iwe mpya na iwe na uwezo wa kuvuta meter 70 had 200 bei maelewano 0753358283 nipo Mwanza Tanzania.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi na walaji wa chakula cha kutoka Baharini km Prowns, Kambakochi KingFish na Pweza. Kwa huduma bora 1: Unaletenewa hadi ulipo 2: Unatengenezewa vizuri Kwa mikoa yote Tz
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Nahitaji lenses ya camera module nikon D3200 black na hiyo lens iwe na uwezo wa kufanya kazi masaa 48 bila kubadilishwa na iwe ina vuta kuanzia mimi 55 -200 yaani meter 70 au 75 had meter 200 iwe...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Nahitaji pikipiki used iwe Sanlg, Fekon ama Haoujue, Iwe Halali na Katika Hali Nzuri na uwe Dar. 0625858516
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, mimi kama kijana wa kitanzania nimekuja na wazo, yawezekana nikawa sipo sahihi naombeni mnirekebishe Nataka tujikusanye watu 10 ambapo kila mtu atakua na million 1,kwaiyo jumla tutakua na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani natafuta external hard disk iwe na ukubwa wa 1 au 2 TB na Iwe bei rahisi tofauti na Dukani na iwe katika ubora wakee....kama unayo sema hapa na bei yake au ni PM Sent from my SM-N910P...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Habari zenu? Nyumba ya vyumba viwili,sebule,jiko na choo(public) dinning,inapangishwa Sakina kwa IDD,Arusha. Nyumba ina geti,fence.Ipo just 90meters kutoka Namanga road,ina umeme na maji. Bei laki...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Most of Medicated soap is not good for health of your child. Chemical in medicated soap may cause: -allergic reaction. -prevent building of immunity of the body and create resistance to microbes...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wale mliopitia Mgambo JKT Kabuku Tanga mko wapi na mnafanya nini? Nilikuwa operation Okoa kombania D ya Afande Tito. Nakumbuka kasheshe za afande Mtono (RIP) na migunga. Wachache tumeendelea...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Back
Top Bottom