Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naiamini sana Jf, km unashida hapa ndo mwisho wake majibu lazima uyapate. Naomba kujua yalipo maduka ya jumla au mwenye kufanya hyo biashara hapo kariakoo. Aje PM, tufanye biashara. Ninahitaji hyo...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Samsung Galaxy(Grand prime) Condition: used Color: silver Capacity : 8gb internal memory SIM: Duo(double line) Price:Tzs 250,000/= Location: Dar es salaam. Call/ 0656-816616
0 Reactions
0 Replies
638 Views
Hi, I am in need of the attached lockable cabinet for Video Conferencing room. If you have or know where to find it, please PM me. Many of those I have found in the furniture shops here in DSM...
0 Reactions
1 Replies
424 Views
Stoo/Ofisi/Fremu zinapangishwa, jirani na Sabasaba Maonyesho. Kwa kipindi hiki cha matayarisho ya maonyesho ya Sabasaba unaweza kuwa unahitaji Stoo/Ofisi ama Fremu kwa ajili ya bidhaa/biashara...
0 Reactions
2 Replies
926 Views
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA ZA (NYARAKA MBALIMBALI) -BUSINESS PLAN(mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00...
0 Reactions
2 Replies
718 Views
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA ZA (NYARAKA MBALIMBALI) -BUSINESS PLAN(mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00...
0 Reactions
1 Replies
503 Views
Wakuu napata wapi hii midoli kwa bei rafk na JPM.
0 Reactions
10 Replies
7K Views
wakuu nauza jiko la gesi la mihan complete used kwa elfu 45 tu,nipo mwenge karibuni
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Na computer mbili(desktop) moja ina waka na kuzima muda huo huo na saa nyingine haiwaki kabisa ukiachana kwa muda inawaka ikiaribia ku boot inazima, ukirudia tena ndio haiwaki, ya pili ina...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau. Nahitaji simu smart yoyote nzuri ofa yangu 100000 tu. Atakaye leta simu nzuri zaidi atapata mzigo huo. Please usichelewe.
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Eneo lipo Kaole Bagamoyo Ukubwa ekari 10 kiasi 70million. kwa maelezo zaidi njoo Pm au uliza hapa hapa. Kwa wanaoyajua hayo maeneo kwa bei hiyo ni sawa na kuokota dodo kwani kabla hali haijawa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu amani kwenu! Kama title ilinavyodadavua, Mimi ni kijana wa miaka 28 (me) Nina shahada ya Elimu ya Saikolojia (hons) ya udsm. Nimewahi kufundisha part time Tabota TTC, Ekernforde Tanga...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wadau wa ujenzi iwe muuzaji au mnunuaji wa vifaa vya ujenzi uzi huu ni mahususi kwa ajili ya vifaa vya ujenzi mimi nauza na kusambaza vifaa vya ujenzi ningependa kuwaletea uzi huu kwajili...
7 Reactions
87 Replies
22K Views
Wakuu naomba mnijuze kwa wale wenye conections na wahitaji wa asali mbichi toka Mpanda..soko lake likoje maana mim nahitaji kuifanya hii biadhara
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau habari ya asubuhi? Mwenzenu nategemea kufungua stationery hivi karibuni na namshukuru Mungu nishapata mlango na nishaanza kuufanyia modifications ili ukae kistationary.. lkn changamoto...
0 Reactions
1 Replies
933 Views
Wakuu Nahitaji printer ya A3,wino wa rangi,iwe ina print manila,natanguliza shukran
0 Reactions
0 Replies
1K Views
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ramani za nyumba bora zinapatikana kwa bei ndogo sana na pia tunaweza kumshirikisha mteja wetu wakati wa utengezaji,tafadhari wasiliana nasi kwa simu namba 0625904597
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Back
Top Bottom