Nissan Patrol
Mwaka 1988
Manual
Injini TD42
Cc 1838
Mileage 437934
Ac inafanyakazi
Gari inahitaji kubadilishwa piston ring lakini inawaka na kutembea
Bei Tzsh 4,000,000/= Gari ipo Tanga mjini...
Lipo eka 5
Bei ni million 8 na nusu
Aina ya Miti iliyopandwa ni pine
Miti ina umri Wa miaka 6
Kwa mawasiliano nipigie 0764426929,0655726929 na0742188846
Napatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoan...
Wakuu habari zenu,natumai hamjambo. Naomba kujua mwenye dondoo kuhusu soko la maziwa fresh. Nina chanzo cha kuaminika kusupply kati ya lita 80 hai 100 k2a siku
Sent from my SM-A510F using...
Make : Subaru
Model : Legacy B4
Mileage : 112,090km
Engine size: 2000cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2005
Doors : 4
Seats...
Salaam wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji Tv flat screen iwe used au mpya ila bei yake isizid laki moja na ishini za kitanzania(Tsh.120,000/=) size yake itategemea ila ni vizur...
Jipatie kitabu cha kujifunza kuongea lugha kichina ndani ya week mbili kwa kutumia lugha ya kiswahili na kiingireza,ni kitabu na CD,bei sh.10,000 tu.piga simu kwa mahitaji au kuwekeza 0757464131...
Kwa wale wapenzi na walaji wa chakula cha kutoka Baharini km Prowns, Kambakochi KingFish na Pweza.
Kwa huduma bora
1: Unaletenewa hadi ulipo
2: Unatengenezewa vizuri
Kwa mikoa yote Tz
Nahitaji lenses ya camera module nikon D3200 black na hiyo lens iwe na uwezo wa kufanya kazi masaa 48 bila kubadilishwa na iwe ina vuta kuanzia mimi 55 -200 yaani meter 70 au 75 had meter 200 iwe...
Wakuu, mimi kama kijana wa kitanzania nimekuja na wazo, yawezekana nikawa sipo sahihi naombeni mnirekebishe
Nataka tujikusanye watu 10 ambapo kila mtu atakua na million 1,kwaiyo jumla tutakua na...
Jamani natafuta external hard disk iwe na ukubwa wa 1 au 2 TB na Iwe bei rahisi tofauti na Dukani na iwe katika ubora wakee....kama unayo sema hapa na bei yake au ni PM
Sent from my SM-N910P...
Habari zenu?
Nyumba ya vyumba viwili,sebule,jiko na choo(public) dinning,inapangishwa Sakina kwa IDD,Arusha.
Nyumba ina geti,fence.Ipo just 90meters kutoka Namanga road,ina umeme na maji.
Bei laki...
Most of Medicated soap is not good for health of your child.
Chemical in medicated soap may cause:
-allergic reaction.
-prevent building of immunity of the body and create resistance to microbes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.