Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, Nahitaji laptop USED kwa ajili ya hardcore gaming;yenye uwezo wa kucheza games kama gta v. Specs atleast processor core i7 ram 4GB hdd 500GB graphics card Nvdia Kama unayo tafadhali...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nahitaji fremu za milango saba moja ikiwa mlango wa mbele. nitajie bei ya kila fremu.zinahitajika haraka mbezi Dar. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Tunafundisha Kompyuta kwa program za, MS WORD, ACCESS, EXCELL, POWERPOINT, INTERNET AND E-MAIL, PUBLISHER n.k, kwa muda wa wiki tatu tu. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala na shule ya Sekondari...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
BIASHARA IMEFUNGWA! LAPTOP IMESHAUZWA 1. Jina: HP 2. Operating system: Window 8.1 Pro 64-bit (6.3, build 9600) 3. System manufacturer: HP 4. System model: Hp Elitebook 8440p 5. BIOS: Default...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nauza sungura wa kisasa newzealand white nipo mbezi makabe Dar es salaam sungura mmoja 30000 Call...+255753534514
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka nianze kufuga sungura wa kisasa kwa sasa nipo Moshi ni wapi naweza wapata? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mbao za aina yoyote zenye ubora zinahitajika,ila wanahitajika wafanyabiashara wenye uzoefu na wenye kuleta mzigo mkubwa..piga hesabu zako mpaka mzigo...
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Wanajamii wenye uelewa wa utaratibu wa kufuata ili kufanyika preshipment inspection ya mizigo inayoagizwa kutoka Canada naomba mnisaidie. Naagiza mashine ya kupasua mbao
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Samsung galaxy s7 duos 680,000 32gb Simu ipo katika hali ya upya kabisa 0678 104 128
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Ili kuhakikisha unajiandaa vyema na mtihani wako wa mwisho, tumeamua kutoa huduma ya ku ‘solve’ ‘past papers’ za mitihani yote ya ‘necta’, na pia, tunafanyisha mitihani yenye mfumo wa ‘necta’ kwa...
0 Reactions
2 Replies
721 Views
Habar wakuu natumai ni wazima. Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kwa wale wanaoitaji usafir kwa shughuri mbalimbali * harusi au hafla * kusafirisha misiba (mkoa wowote) * kukodi kwa shughur...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Karibuni wateja wote wa import, export Napia transit goods yote tunadili nayo kwa muda wa mfupi kwa speed Kubwa bila usumbufu kwa wateja Wetu bila kusahau gharama ndogo saana kalibuni wateja Wetu...
1 Reactions
5 Replies
929 Views
Habari zenu wadau naomba msaada yeyote mwenye programme ya microsoft office ya 2017 au mwaka 2016 for macos sierra ambayo ishakuwa activated.... Nitatoa offer nono Nadhani nitakuwa nimeeleweka...
1 Reactions
2 Replies
856 Views
Naomba kuuliza kwa yeyote anaefahamu bei ya Samsung Galaxy MegaPlus naomba anijuze chap chap..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
natafuta laptop kwa bei ya 350,000/= RAM kuanzia 2gb
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa maelezo zaidi piga namba 0779888204 au 0777141565 au 0713305020 au 0778888390 karibuni sana masomo yataanza trh 9 Feb 2015
0 Reactions
51 Replies
9K Views
Wadau ninauza line ya uwakala ya Airtel Money ambayo iko fully operational. Bei ni 200,0000/=. Kama uko interested njoo PM.Nina shida ya haraka ya pesa ndomana naiuza.
0 Reactions
4 Replies
802 Views
Kama Kuna yoyote mwenye kujua nyumba inayouzwa kuanzia 80 milioni kushuka chini Naomba tuwasiliane. Iwe na vyumba vinne maji Umeme na car parking
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Jifunze kuongea lugha ya kichina in two weeks,ni kitabu na CD kwa bei ya 10,000tzs tu.utajifunza kuongea ndani ya mda mfupi na mwalimu atakaekuelekeza kutumia CD.Call us on 0757464131,0759003146...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom