Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,857
- 2,089
Ndugu zanguni naomba msaada, kuna dawa nimekuwa nikiitafuta madukani bila mafanikio, kipindi cha zamani ilikuwa inaitwa 'Salimia' kwa yeyote anayejua zinapopatikana anijulishe tafadhari, au dawa inayofanana na hiyo.