Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,689
- 64,704
Mwenye kutaka nyumba ya kupangisha.
Nyumba ipo Mbezi mwisho. Ni kituo cha tatu kutoka Mbezi stand mpya kama unaelekea morogoro.
Ina masta moja.
Sitting room na vyumba vingine vinne.
Choo na bafu la nje vipo.
Maji yapo.
Bei ni shilingi laki tatu kwa mwezi.
Malipo kwa mwaka mmoja.
............ Karibu........
Nyumba ipo Mbezi mwisho. Ni kituo cha tatu kutoka Mbezi stand mpya kama unaelekea morogoro.
Ina masta moja.
Sitting room na vyumba vingine vinne.
Choo na bafu la nje vipo.
Maji yapo.
Bei ni shilingi laki tatu kwa mwezi.
Malipo kwa mwaka mmoja.
............ Karibu........