Site ya biashara inakodishwa Arusha. ni site nzuri yenye nyumba ndogo self ya two bed room, sitting room, jiko, choo, bafu na store. Pia ina jengo dogo la ghorofa moja halijakamilika (under...
wapendwa,, karibuni nafanya huduma ya kufua nguo kwa kutumia mashine na kupasi. Bei zangu ni nafuu kuanzia 1500, napatikana mabibo makuburi, ubungo Dar es salaam , maeneo yote ya Dar nafata nguo...
Habari wadau, bila kupoteza muda nimeleta biashara hapa ili mwenye ufahamu aniambie imekaaje ili tupige kazi!
Kuna jamaa yangu ndugu yake yupo nje ya nchi, Amempigia simu jamaa na kumuomba Atafute...
Habari zenu wapendwa,, karibuni nafanya huduma ya kufua nguo kwa kutumia mashine na kupasi. Bei zangu ni nafuu kuanzia 1500, napatikana mabibo makuburi, ubungo Dar es salaam , maeneo yote ya Dar...
Jipatie unga bora wa mbegu za maboga kwa sh 5000/=(robo),sh 10000/=(nusu),sh 20000/=(kilo).Ukihitaji tupatie mawasiliano yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sami home Graphics design ... Tuna design Logo, Lebo kwa wajasiliamali, Matangazo ya mtandaoni, Business card, rollup banner,catalog, hotel & restaurant menu, business proposal,company...
HABARI, za mchana leo nataka nikufundishe somo dogo kuhusu afya yako. Kuna wakati tumekuwa tukiambiwa tu kuwa asali ina faida kubwa katika mwili wa binadamu lakini hatujafahamu umuhimu huo wa...
Natafuta nyumba ya kupanga, iwe na Chumba Kimoja cha kulala, kikubwa cha kujitosheleza, Sebule, Choo na bafu vya kujitosheleza kiukubwa,sio vilivyobanwa sana. Jiko kubwa kiasi la kujitosheleza...
Kwa wale wanaohitaji asali-halisi isiyoongezwa chochote, sasa inapatikana kwa wingi
Bei yake ni 11000 kwa Lita moja ,
52,000 kwa Lita tano
Tuna sambaza kwenye mahoteli, maduka ,supermarket...
Nipo Morogoro, naiuza kwa sababu nakwenda masomoni,nauza fridge pamoja na king'amuzi cha star times(cha dish.)
Fridge naiuza 400,000 tu,na ina miezi minne tangu niinunue!!!
Sent using Jamii...
karibu sami home Graphics design ... Tuna design Logo, Lebo kwa wajasiliamali, Matangazo ya mtandaoni, Business card, rollup banner,catalog, hotel & restaurant menu, business proposal,company...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.