Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ndugu na dada napenda kuwakaribisha kupata nakala za vitabu mbalimbali vinavyotolewa na home health education service(HHES), vitabu vya afya, mahusiano, kutia moyo/inspirational books, malezi na...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Fursa hiyo! Naiuza chainsaw yangu aina ya husqavarna 272 iliyotumika kwa miezi miwili tu..bado iko njema..nipm for more info
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Tunauza magari mapya na used yenye hali nzuri kwa bei nafuu Kama unataka kuuza gari yako kwa haraka wasiliana na sisi tukusaidie kupata wateja kwa haraka Pia kama unatafuta gari zenye hali kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa pamoja na kiwanja chake kipo Mkoa *arusha* wilaya meru usariver karibu na chuo kikuu cha Arusha Nyumba ina sifa zifuatazo; 1.Ina wigo wa nyavu 2.Ina umeme 3.Ina maji 4.Ina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvi aina ya simu tajwa inaitajika katika mazingira ya spare. Shida injini yake kwani iliyopo laini haisomi mtandao ivo kama kuna mtu anayo iliyomsumbua chochote mbali na injini akaamua...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Migomba
1 Reactions
3 Replies
924 Views
Habari zenu wadau. Nahitaji trekta la kukodi kwa mwezi. Nipo Iringa na trekta nitalitumia huku Iringa. Msaada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Kwa anayehitaji anipe offer yake
1 Reactions
0 Replies
496 Views
Kiwanja kina ukubwa wa sq mita 400 kipo umbali usiozidi km 1 kutoka Goba centre...nyuma kidogo ya shule ya msingi Goba Kwa maulizo Whatsapp/Call 0719573444 Hakuna dalali mimi mwenyew ndio mwenye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Poleni na majuku ya kila siku....! Mimi ni kijana (me) mwenye umri wa miaka 24, nimehitimu elimu yangu ya udaktari wa mifugo ngazi ya Diploma katika chuo kikuu cha kilimo Sokoine mwaka huu. Nipo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
AVON DEODORANTS Team kunukia karibuni deodorants hizo, Jumla 6000, reja 8000 Jumla kuanzia PC 10 Call 0714547830 spend less, save more
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu heshima yenu....nataka nimnunulie shemeji yenu Mashine ya kufulia...sasa sins uzozefu nazo kabisa ninunue gani? nasikia kuna Washer sijui na nyingine gani? kifupi nataka kutumia kufua nguo...
1 Reactions
12 Replies
9K Views
Haya jamani anayehitaji fundi umeme wa majumbani yupo hapa sio wa mtaani. ni kutoka kampuni Hana bei sana(wayaring ya umeme na marekebisho yuko vizuri mawasiliano(0621058954) Sent using Jamii...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana jf, naomba kujuzwa bei za ving'amzi vya star times vile vdg vya antena
0 Reactions
3 Replies
5K Views
ram 4gb hard disk 500gb intel inside betri 2hrs BEI 320,000 tu mawasiliano 0717 351717 au 0782 780980
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Zote mbili Tigo na Voda kwa laki 3... Napatikana Kongowe-Kibaha.. Njoo PM tuyajenge.
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Wadau natafuta shamba dogo nje kidogo ya mji kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe, kuku na samaki.Naomba mwenye kujua eneo ambalo nitafuga viumbe hivyo bila kubuguziwa anisaidie nifanikishe.
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Iphone 6 mpyaa naihitaji ASAP Offer: 500k Njoo inbox
0 Reactions
12 Replies
904 Views
Back
Top Bottom