Ekari 4 milioni 10 dodoma mjini

Ekari 4 milioni 10 dodoma mjini

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
899
Shamba linauzwa liko maeneo ya mzani(nala) dodoma mjini umbali usiozidi kilomita 14 toka town centre na kilomita isiyozidi 1 toka barabara ya lami iendayo singida/mwanza/tabora
Eneo liko karibu na hostel za chuo kipya cha biashara cha NGAGEYA na si mbali na eneo waarabu(shabiby) wanapotaka kujenga sheli.hati yake ni ya kijiji
Bei ya eka moja ni milioni 2.5,na bei ya lote(eka 4) ni milioni 10.punguzo na maelewano yapo,unaweza ni PM
Ama ntafute kupitia 0767833496
stevenmasaka@gmail.com
aeeb936b2d5c979bbe636eb966b00379.jpg
41437cedfae444e61b9d4f16f3d3bd26.jpg
db06c7c34967858fcc9fcda1c4f32837.jpg
bd4c2c5f32c62f4eaae7059c121c6730.jpg
 
Back
Top Bottom