Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

hbr wadau kama thread inavyojieleza nauza simu aina samsung galaxy note edge bei tsh 250,000. haina tatizo lolote zaidi ya kuchubuka kioo tu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Machine za EFD zinauzwaje wadau? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Ninahitaji line ya Tigo-pesa, niko Tanga. Kwenye kuweza kunisaidia tuwasiliane!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza Samsung Galaxy s6 edge 32 gb 16mp Bei:550000 fixed price. Location: Dar es salaam.
0 Reactions
77 Replies
15K Views
Niambie kama umewahi kukutana na hali kama hii; Ndugu au rafiki yako wa karibu, ambaye mnaheshimiana sana na kushirikiana mambo mengi, anakupigia simu. Anakuambia kuna fursa nzuri sana ya...
2 Reactions
80 Replies
12K Views
Kiwanja kinauzwa Eneo:Moshi,eneo la shabaha Vipimo:20x20 Kupimwa:Bado Bei:5.5M (inazungumzika) Huduma:Maji yapo na umeme pia upo bt hujaunganishwa Contacts:0768050062
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu nauza simu nzima kabisa haina tatizo lolote kabisa ila ni kikorea Bei sh 80000 Mazungumzo yapo 0657 63 63 63
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Anayelijua duka zuri la vifaa vya computer lililopo Mwenge stand au mawasiliano stand, anielekeze nivipate hivyo vitu please. Ahsante.
0 Reactions
4 Replies
548 Views
Habari zenu wakuu?baada ya kukusanya ka mtaji sasa nimenunua machine za kunyoa nywele, sterilizer na vifaa vingine.Lengo langu ni kulenga kundi la watu kwa kua na mobile saloon(salun). Hapo...
5 Reactions
47 Replies
4K Views
Nataka kujua bei ya gunia la Tumbaku(Tobacco) July 2017.
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wale wadau wangu wa magemu natafuta ps2 complete niko mwanza bei yangu 80,000
0 Reactions
6 Replies
958 Views
Kwa aliyenacho anijibu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Gari gari gari Piga 0784673315 TOYOTA LAND CRUISER PRADO YEAR 2007 MILES 48,000 LOW MILEAGE ENGINE 1KD - DIESEL TURBO FOUR CYLINDER 2700 CC ABS, CENTRAL LOCKING, POWER WINDOW 6 AIRBAG AUTOMATIC...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa upungufu wa nguvu za kiume kibofu kuuma tumbo kuuma husimamishi uume kusinyaa kabla ya tendo kuwahi kufika kileleni kushindwa kurudia tendo kwa kutumia shubiri,maziwa ya mgando ,vitunguu...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
.....
0 Reactions
3 Replies
469 Views
Jipatie Asali mbichi ya Mpanda kwa bei chee kabisa. Lita 1=10,000/Tsh kwa bei ya rejareja. Lita 1=8000/Tsh kwa bei ya jumla. Napatikana Dar es Salaam. Tegeta nyuki stendi. Wahi sasa, bado...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA NA (NYARAKA MBALIMBALI) -BUSINESS PLAN (mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00 -COMPANY...
0 Reactions
2 Replies
619 Views
Wakuu Mimi nina Samsung flat Inch32 na nna ela ya kununua dstv decoder pamoja na kutengeneza mabenchi. Tatizo kubwa sina sehemu ya kufanya biashara hii. Mimi nipo dar, natafuta mtu ambaye...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za Wakati huu, Ndugu wadau najua hii ni sehem ni sehem ambayo naweza kuomba mchango japo wa mawazo kisha nikafanikiwa Ombi langu Leo naomba unisaidie mwenye mawaailiano na kiwanda cha...
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Back
Top Bottom