Habari zenu, nina matikiti shambani natarajia kuyatoa wiki mbili zijazo yatakuwa tayari, nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi. Hivyo mwenye kuhitaji kuhitaji kuyanunu shambani kwa bei ya jumla...
Ninayo matikiti maji shambani natarajia kuyotoa wiki mbili zijazo. Hivyo natafuta mjeja wa jumla anicheck kwa 0657550354/0746019259 nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi.
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngn za kimaendeleo vnapatkna kwa ukubwa wa 16/16mta mfumo wa squatter
0656 698232
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapokea wanafunzi wote wa kidato cha sita wanaotaka kurudia mitihani. Masomo ya sanaa, biashara na sayansi yanafundishwa na waalimu wenye weredi wa kutosha. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala...
Amani ya Mungu iwe Nanyi
wakuu nina fedha za kizamani nauza kwa yeyote mdau wa hili tuwasiliane(pm).
Sarafu ni za pre na post Uhuru kwa maana za Malkia na Kambarage, pia msaada wa soko kwa...
Kuanzia mwez wa kumi ntakuwa na bidhaa izo hapo kwa atakayeitaj anaweza niona kwa number zifuatazo 0718040208 free delivery kwa mtu atakayechukua kuanzia kg 1000 kwa bidhaa ya nyanya na mboga...
Wakuu habar,
Nauza simu aina ya TECNO W4, simu ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote na imetumika miez 4 tu.
Nauza kwa sababu nataka nipate pesa ya kodi ya chumba ya miez mitatu.
Bei ni Tsh...
Solar water heater zenye ubora wa kudumu kwa miaka zaidi ya 20 katika ubora ule ule.
Okoa bill ya umeme kwa kupata maji ya moto kwa kutumia jua. Unapaa maji ya moto usiku na mchana.
Tunafunga...
Imetumika wiki moja tu rist zote zipo box lipo tatoa earphone na chaja tu rangi gold, bei 220000 tu, napatikana DSM 0683666702 nicheck seriously buyer
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau habari ya mchana, natafuta laptop, ofa yangu laki 2. Kama unayo na nzima basi nipm; aina yoyote na ukubwa wowote ilmradi tu iwe nzima. Hard disc iwe kuanzia 80 na ram angalau 2
Baada ya kuitumia kwa muda machine ya EFD aina ya eXpert SX ya Bulgaria imeanza kugoma kutoa risiti yenye tarehe ya manunuzi,tumeirekebisha sana kwa dealer wetu lakin imeshindikana
Sent using...
Kusolve ishu ndogo ndogo za Technology na kupata fafanuzi za maswali uliyonayo tembelea blog yetu ya techedutanzania.blogspot.com
blog hii itakua active na pale unapokua na swali lolote waweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.