Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu, nina matikiti shambani natarajia kuyatoa wiki mbili zijazo yatakuwa tayari, nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi. Hivyo mwenye kuhitaji kuhitaji kuyanunu shambani kwa bei ya jumla...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
√12 chicken egg √automatic whatsapp/sms:0682662558 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
614 Views
Nina choroko kilo 800 za blue nene nauza jumla,nipo dar es salaam Temeke. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
503 Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa ipo iringa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Ninayo matikiti maji shambani natarajia kuyotoa wiki mbili zijazo. Hivyo natafuta mjeja wa jumla anicheck kwa 0657550354/0746019259 nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi.
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngn za kimaendeleo vnapatkna kwa ukubwa wa 16/16mta mfumo wa squatter 0656 698232 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
758 Views
Anayetaka Tangawizi mbichi tafadhali wasiliana na Mimi ninauza kwa bei nzuri wasiliana na Mimi kwa namba 0716 766 263 ninaanza kuuza 100kg Karibuni
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunapokea wanafunzi wote wa kidato cha sita wanaotaka kurudia mitihani. Masomo ya sanaa, biashara na sayansi yanafundishwa na waalimu wenye weredi wa kutosha. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Nahitaji trekta la kukodi kwa mwezi. Nipo Iringa na trekta nitalitumia Iringa. Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Amani ya Mungu iwe Nanyi wakuu nina fedha za kizamani nauza kwa yeyote mdau wa hili tuwasiliane(pm). Sarafu ni za pre na post Uhuru kwa maana za Malkia na Kambarage, pia msaada wa soko kwa...
0 Reactions
3 Replies
727 Views
Kuanzia mwez wa kumi ntakuwa na bidhaa izo hapo kwa atakayeitaj anaweza niona kwa number zifuatazo 0718040208 free delivery kwa mtu atakayechukua kuanzia kg 1000 kwa bidhaa ya nyanya na mboga...
0 Reactions
1 Replies
670 Views
Tecno C8 ipo sokoni, bei 150,000.Napatikana Kongowe-Kibaha.. Njoo PM tuyajenge.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habar, Nauza simu aina ya TECNO W4, simu ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote na imetumika miez 4 tu. Nauza kwa sababu nataka nipate pesa ya kodi ya chumba ya miez mitatu. Bei ni Tsh...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Solar water heater zenye ubora wa kudumu kwa miaka zaidi ya 20 katika ubora ule ule. Okoa bill ya umeme kwa kupata maji ya moto kwa kutumia jua. Unapaa maji ya moto usiku na mchana. Tunafunga...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mashine ya popcorn ilotumika na bado ipo ktk mazingira mazuri,mwenye nayo anicheki kwa namba 0755379743
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Imetumika wiki moja tu rist zote zipo box lipo tatoa earphone na chaja tu rangi gold, bei 220000 tu, napatikana DSM 0683666702 nicheck seriously buyer Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Wadau habari ya mchana, natafuta laptop, ofa yangu laki 2. Kama unayo na nzima basi nipm; aina yoyote na ukubwa wowote ilmradi tu iwe nzima. Hard disc iwe kuanzia 80 na ram angalau 2
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Baada ya kuitumia kwa muda machine ya EFD aina ya eXpert SX ya Bulgaria imeanza kugoma kutoa risiti yenye tarehe ya manunuzi,tumeirekebisha sana kwa dealer wetu lakin imeshindikana Sent using...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kusolve ishu ndogo ndogo za Technology na kupata fafanuzi za maswali uliyonayo tembelea blog yetu ya techedutanzania.blogspot.com blog hii itakua active na pale unapokua na swali lolote waweza...
0 Reactions
1 Replies
801 Views
Back
Top Bottom