Tengeneza bafu lako kwa bei nafuu

Tengeneza bafu lako kwa bei nafuu

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,260
Reaction score
9,747
Haya mabafu yanatengenezwa kwa aluminium na vioo.
Hayahifadhi mende kama yale mengine ready made.
Ni rahisi kutengenezwa endapo litapata tatizo maana mafundi aluminium ni wengi.
Ni cheap and durable.
Bei inaanzia 500,000 kuendelea kutokana na size ya bafu na design na aina ya kioo.
Bei haihusishi sinki la chini.
Milango yake ni ya kuslide.
0657160252
21447dea612df4cf40cf3527e0460bc8.jpg

62fde9338f349efedab455dc08d79626.jpg

0b7fbe52842b6af88c6c03440ee56b57.jpg

eb3f6b75f9793b87c1b41877c7a27051.jpg
 
Haya mabafu yanatengenezwa kwa aluminium na vioo.
Hayahifadhi mende kama yale mengine ready made.
Ni rahisi kutengenezwa endapo litapata tatizo maana mafundi aluminium ni wengi.
Ni cheap and durable.
Bei inaanzia 500,000 kuendelea kutokana na size ya bafu na design na aina ya kioo.
Bei haihusishi sinki la chini.
Milango yake ni ya kuslide.
0657160252
21447dea612df4cf40cf3527e0460bc8.jpg

62fde9338f349efedab455dc08d79626.jpg

0b7fbe52842b6af88c6c03440ee56b57.jpg

eb3f6b75f9793b87c1b41877c7a27051.jpg
Ma moisture yote ya kuoga yataenda wapi?? Kama sio kuanza kunuka uvundo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila kwa hio bei hapana mkuu, atleast 250 labda!
 
mkuu hiyo 500k ni hicho kichumba tu..?
Ndiyo mkuu.
Hicho chumba kinatumia kariboa sheet moja ya vioo.
Nado hizo profiles bado handles rollers brush n.k
Bado usafori bado ufundi.
Hata dirisha la aluminium la 6*6 ni zaidi ya laki tatu sa hicho kichumba wahisi kitakuwa kiasi hani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom