Habari Zenu waungwana.kutokana na shida za wafanyakazi wa nyumbani nimeanzisha day care kwa ajili ya watoto kuanzia mwaka mmoja na nusu mpaka 6.tupo africana mbezi beach .kwa mazungumzo zaidi...
.....
Kifungu cha 34(1)(a) cha sheria ya ardhi kinasema mkataba wwte wa kuhamisha umiliki wa ardhi (kuuza,kununua) au kuweka rehan ardhi utalindwa na sheria iwapo utakuwa ktk maandishi.
#NINI...
Haya wakina Mama pendezesha mguu wako kwa 25,000/= tu
Wakina Baba karibuni muwanunulie wakina Mama nao wapendeze.
Dsm utaletewa ulipo
Mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa
WhatsApp/Call/Text...
NInauza majogoo wakubwa wa kienyeji kwa ajili ya nyama.
Wana uzito kuanzia kilo 3. Bei ni 14,000. Tunapatikana kibaha kwa mfipa.
Contact: +255716666954
Invisible; Jambo Admin; Moderators; Super Members; JF members.
Nafikiri ni wakati muafaka kukawa na malipo kwenye matangazo madogo madogo i.e. £22.00 kwa tanngazo kwa mwezi kama unalipa kutoka...
Ndugu WANAJF,
Muuzaji wa Duka La Dawa Muhimu za Binadamu anahitajika haraka.
Job Location: Ifakara town
Qualifications: Awe amesomea Pre-Nursing course katika Chuo kinachotambulika na awe...
Kama sikosei mwanzoni mwa January mwaka huu nilitoa tangazo hapa kuhusu mafunzo ya maarifa ya kazi ... sijaona mtu ametuma e-mail kwa ajili ya application.
Sasa naweka mambo wazi hapa. ...
mwenye kuhitaji nyumba eneo la kibada karibu na zahanati ya kibada anipigie 0713803276, bei elekezi 40m, but negotiable.
Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
UFUTA UFUTA UFUTA
Ufuta tani moja shilingi 1,700,000/=
Zimebaki tani 300, Dar es Salaam.
Karibuni sana.
0659890000
fmlyimo@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Wandugu,
Kama kichwa kinavyojieleza, ninahama Jiji la Dar na kuhamia mkoani.
Ninauza Nyumba yangu moja iliyopo hapa Dar sehemu iitwayo Madale.
Ni ghorofa moja nimeijenga mpaka juu ghorofani, bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.