Katika pita pita zangu nimekutana na wauzaji wengi wa viwanja na nyumba lakini cha kusikitisha asilimia 98 ya wauzaji hawana Hati. Ukakasi unakuja pale mtu anauza nyumba ya Millions 200 au zaidi...
Habari wakuu!.
mwaka 2015 nilianza kufanya huduma ya fedha kwenye simu ya m-pesa,tigopesa na airtel money. Kwakuwa nilikuwa sina vigezo vya kupata TILL moja kwa moja toka kwnye mtandao husika...
Natumai wana Jf wote mko salama bin salimini.
Baada ya kujua hali zenu nawakaribisheni katika kuongeza maarifa kupitia usomaji wa RIWAYA yangu iitwayo "HALIKUWA CHAGUO LANGU". Hakika ni kitabu...
Wadau nauliza mahindi ya kibaigwa yanatoka vijiji gani? Kuna mtu alinieleza yanatoka kilindi lkn kijiji hajanitajia nataka kujaribu hiyo biashara mwenye maelezo ya kutosha anieleza tafadhali.
Natengeneza Logo Tzs.20,000 pia nadesign Matangazo yakutumia kwenye social media e.g. whatsapp/facebook/instagram...!!!
Napatikana Mikocheni B,
Mwenye uhitaji...!!!
Whatsapp/Call: 0624132227
Habarii zenuu wanajamviii naombaa mnisaidiee ninatablet yanguu ya samsung tab2 imenigomea kufanya kazi nikiiwashaa haidisplay application zake kwenye screen inaonyesha ka mwangaa sijui nini ?
Na...
Nahitaji Jug Kettle/Jagi la kuchemshia maji. Liwa na uwezo wa kubeba litres 3 na kuendelea.
Anayeuza au anayefahamu ninapoweza kupata naomba anifahamishe.
Natanguliza shukrani.
Kichwa cha thread hapo Juu chahusika.
Zipo zaidi ya ekari 50.
For serious Customers, tuwasiliane.
Mahali lilipo: Kikiji cha " Farm 17/ Farm Seventeen"
Mazao yanayofaa: Ufuta, Mbaazi, Kunde...
Hi,
I am looking for business partner who is willing to invest at list 2 Hours a day in a business dealing with health and beauty products.
Preferably someone in Dar Es Salaam.
If you will be...
UKARA FISH GROUP.karibuni mpate dagaa wa kukaanga walio na viungo na wa kawaida kwa bei ya jumla.
Tunapatikana mwanza na mikoani tunatuma
Toa oda 0759292980
<br />Kama mnavyoiyona hp wadau..bado ni mpya kabisa, imetumika miez 8, haina tatizo lolote ni nzuri kwa biashara bei ni <br />Tsh 580,000/= kama unahitaji njoo PM tuzungumze biashara.
Kwa...
Flat-Screen TV (ya brand ya HomeBase) na Deki (ndogo ya RISING), vimetumika 1 month, bado vipya kabisa, vinauzwa vyote kwa Laki 2 cash. Siwezi kuu pload picha. Note: TV haina stendi, imeshauzwa...
Kwa anayehitaji TILL zinauzwa:
Voda = 150,000/=
Tigo = 150,000/=
Airtel =130,000/=
Halotel =130,000/=
Karibuni sana kwa biashara.
Ni zipo moja moja tu nilikuwa nafanyia biashara mimi sasa nmeamua...
Kwa sababu zilizo nje ya Uwezo wetu PD proxy,TroidVPN na DroidVPN hazipatikani tena hivo kama ulikuwa na acc ya Pd proxy i-pause na kama haujui jinsi ya kupause ntakupa msaada:
Pia wale wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.