Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu, salaam Gari ya kampuni inauzwa kwakuwa imeshafikisha miaka 5, mtumiaji tangu imenunuliwa si MTANZANIA, ni MANUAL TRANSMISSION Rangi Nyeupe Mileage ni 49000km Reg ni T2..CHV Bima inaisha...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari wakuu?. Ninauza laini(TILL) kwaajili ya huduma za M-PESA na AIRTEL MONEY. 1. M-pesa naiuza kwa sh 150,000/= 2. Airtel money sh 130,000/= Kwa anayehitaji tuwasiliane inbox tufanye biashara...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
DAGAA WATAMU Habari zenu, kwa wale wakazi wa dar pata dagaa safi na watamu wa kukaanga kutoka mwanza kwa bei ya sh 2000 tuh kwa pakti, derivery ni bure ndani ya dar es salaam kwa mawasiliano...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Ina vyumba vitatu, dinning, sittingroom na master moja. Sehemu kuwa ya parking. Mahali: Salasala Kilimahewa Bei: 65 Milion Simu. 0784 01 11 01 0652 34 44 18. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nauza asali mbichi ya nyuki wakubwa kwa sh 11,500 popote ulipo Dar es salaam nakuletea 0654846084 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu ya kujenga taifa, Kama kichwa cha habari kinavyosema, ninatafuta shamba la kununua, liwe maeneo ya ruvu, chanika, kuanzia mwanzo mgumu. Pia itakuwa vizuri likiwa halipo...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Nina gunia kumi za mpunga nauz kwa bei poa, nipo Dar kigamboni
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Get Angry,Get Inspired,It can Be You.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau natafuta button ya kuwashia ya samsung n150 pichani. Button yangu imevunjika Mawasiliano :0783962460 Au post hapa. Asanteni!
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Ndugu wanajamvi mwanaume wa ukweli ni Yule anaejua kutafuta pesa na vile vile kumshughulikia mpenzi wake ipasavyo. Ndugu zangu mimi natoa huduma kwa wale wajasiliamali tunaobeti kwa kukupatia...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wadau natafuta button ya kuwashia ya samasung n150 pichani. Button yangu imevunjika Mawasiliano :0783962460 Au post hapa. Asanteni!
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Asali mbichi halisi Inapatikana kwa tsh 10000 Kwa lita moja Asali toka ugalla wilaya ya urambo karibuni maeneo kunduchi mtongani DSM Mawasiliano 0754249732 au 0659796318
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kwa mwenye used PC yenye specs za kawaida tu..PM (MSG) me tuongee biashara Note: condition iwe nzuri Offer:150,000/=
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TANGAZO, TANGAZO KIWANJA : Kiwanja kipo kigamboni-tungi songani, kina heka 5 ...kipo karibu na stendi ya mabusi yaendayo kigamboni feri na mbagara rangi 3...kiko karibu na soko kuu la tungi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau mwenye duka la simu tunaomba bei ya Tecno C9 tufanye bihashara Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau ninauza gari tajwa hapo juu ya mwaka 2000.gari halina tatizo lolote na haijawah kua na tatizo lolote. Mimi si dalali ni mali yangu.niliagiza mwaka 2013 dec.na imekua mikononi mwangu na...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Habari zenu wadau, kuna rafiki yangu anauza line ya tigo pesa. Bei ni Tsh.150,000 Namba yake ya simu ni 0712767898 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
KWANZA FOOD PRODUCTS ENTERPRISEs(KFEs) inakuletea KWANZA DAGAA PRODUCTS tunasambaza na kukufikia popote ulipo kukuletea Dagaa safi na walio bora kwa afya yako kutoka Ziwa Victoria - Mwanza, Dagaa...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Habari za jioni, Tunauza asali mbichi toka Itigi, kuna ujazo wa 1kg tsh 12,500 , 500 g ni tsh 6500 na 250 g ni tsh 4,000 Kwa mawasiliano 0756 699699 / 0746 699299 Kwa Dar es salaam...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom