Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naombeni mwenye namba za makocha wanao fundisha kuogelea naitaji kujisajili ili ni mletee manufaa katika timu yake ya kuogelea maana mimi ni mfano wa samaki Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
594 Views
Wapenzi warembo wenzangu yake mafuta mazuri ya queen elizabeth yapo yamewasili nchini Kwa anayetaka please ani pm nitaelekeza wapi Kwa kuyapata unaletewa mpka ulipo bei nni hiyo hapo
2 Reactions
29 Replies
26K Views
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu. Mzigo wa caustic soda umewasili, bei ni nafuu mno. Pia tuna material ya kubadili sabuni ya kipande ya kufulia iwe sabuni ya kuogea au sabuni ya kutibu ngozi. Simu: 0713-039 875
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau muhitaji wa Kontena la futi 40 liko Ununio karibu na shule ya sekondari ya Kiislamu (Ununio Islamic High School) ni High Cube na documents zote ziko vizuri. Bei million 4 (4M) na maongezi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu wanabodi, Nawasalimu katika jina lake yeye atutiaye nguvu na afya. Nahitaji kujua kama kuna kampuni inayozalisha matofali ya kuchoma ya kiwango bora sana popote pale ilipo ndani ya mipaka...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Anayeitaji mtungi wa gas complete au exchange pamoja na majiko ya gas kama aborder, home base, boss anione, utaletewa bure hadi nyumbani. Ofa hii ni kwa wakazi wa morogoro mjini tu Ukiitaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau nahitaji gari Mercedes Benz c200 kompressor ofa yangu ni ml 7 yenye hali nzuri atleast namba C
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari, kama wewe ni masanii wa music wa aina yoyoye na unataka kufanya video nzuri kwa gharama ndogo kabisa ya sawa na Bure au bure kabisa wahi ofa hii kutoka kampuni ya Moo Entertainment...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Bei mpya za simu za tecno hizi hapa, okoa pesa zako, nunua kwetu, haijawahi tokea Bei mpya Tecno mpya cx 300000 Tecno c9 320000 Tecno j8 270000 2 w3 150000 Tecnw3lt 185000 Tecno w1 125000 Tecno...
2 Reactions
8 Replies
8K Views
Noah TownAce 4WD iliyo katika hali nzuri inahitajika. Offer yangu itategemea hali halisi ya gari. Serious seller njoo PM tufanye biashara.
0 Reactions
1 Replies
792 Views
habari wadau nipo dar keko nauza simu mpya aina ya huawei M2 rom ni 16gb na ram ni 3gb bei yake ni laki 5 namba yangu 0758478009
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani anae uza mashine ya kukushanyia kodi inahitajika haraka sana. 0714919809 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Nyumba iko nyasubi Kahama ,ina vyumba vitano vya kulala na sebule moja, pia maji, umeme vinapatikana. Ina fance ya nyumba ingine kwa nyuma ambayo imekomea kwenye lenta , eneo zima ni nusu heka ...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Africa Feeders Company Limited wanakuletea unga safi, mweupe wa muhogo kwa ajili ya ugali, chapati, maandazi, mikate na matumizi mengine mengi. Packages za 5kg, 20kg na 50kg. Kwa order uletewe...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Kiwanja kinauzwa kimara mwisho kwa komba. Mita 20 kwa 15 na bei ni Tsh 15,000,000 Hakijapimwa. 0712595636.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom