Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu natangaza dau kwa yeyote anayeweza kunipatia kitabu cha MASHAIRI YA SAADAN ABDUL KANDORO nitamlipa laki mbili taslmu shilingi za kitanzania papo hapo. Nipo mwananyamala Dar. Asanteni sana...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji. Kwa wale wenye uhitaji wa mayai ya kienyeji kwa ajili ya kutamilisha na matumizi mengine ya nyumbani yanapatikana kwa bei ya shilingi...
3 Reactions
5 Replies
5K Views
Heshima kwenu wana bodi, Nataka kufungua biashara ya kuuza juice sasa natafuta friji ambayo inauwezo wa kuhifadhi lita 40 kwa pamoja. Je naweza pata friji lenye uwezo wa huhifadhi kiwango hicho...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Wandugu kama tangazo linavyosomeka. Nahitaji laini kama yupo mwenye nazo au ziada aniuzie. Nimehangaika naambiwa kwa sasa hazipo tena kwa mawakala. Mwenye nayo ani-pm au anipe namba kwa kucomment...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Uongozi wa kituo cha Elimu Huria cha Excellent Training Center kilichopo Upanga Mashariki karibu na Regency hospital tunawakaribisha wazazi na walezi kuleta vijana wao watakao hitimu Elimu ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu mlioko mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha tunapenda kuwafahamisha sasa unaweza safirisha ama kununua kitu chochote toka Dar kupitia Kaskazini cargo transportation. Iwe ni...
0 Reactions
2 Replies
784 Views
Kama unahitaji la kupanga nyumba Arusha mjini kisongo unaweza kuwasiliana na mimi inbox Ina vyumba jumla vitano Ukuta Maelezo mengine kwa wale walio serious njoo inbox
0 Reactions
0 Replies
3K Views
nauza samsung grand prime plus in 8gb internal 1.5 gb ram in front camera na rear camera bei ni 230000
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nawakaribisha wale wote wanaopenda kufahamu kuhusu, kilimo cha Alizeti, Mbaazi, Maharage, Mtama na Mahindi. Naomba tuwasiliane kupitia JamiiForums.
2 Reactions
60 Replies
38K Views
Asali inapatikana kwa atakayehitaji gharama yake ni sh.120,000 kwa lita 20. Kwa mawasiliano piga simu namba 0764196445/0693296644. Tabora
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Indian fashion designer Manish Arora relaxing in Etihad Airways’ premium lounge at Paris Charles de Gaulle Airport ahead of his flight to Abu Dhabi and onwards to Delhi. Globally renowned...
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Wanajukwaaa heshima kwenu. Namsaka mtaalamu wa kuandika CV itakayoshawishi kufanya kazi kwenye mashirika tofauti japo basically ni Mwalimu. Sasa kwa kuwa walimu wa sanaa hatuna nafasi tena hapa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama maelezo yalivyojieleza hapo juu, offer yangu ni Tzs 200,000/= lazima iwe kwenye hali nzuri, nipo songea but ukiwa Dar ntamtumia mtu aicheki Mawasiliano 0712752544 wassp. pia
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Simu ni mpya kasoro box bei ni 220k niko dar call me 0625489948
0 Reactions
4 Replies
968 Views
Nauza kiwanja changu maeneo ya Kigamboni Malimbika. Eneo Nizuri sana kilometa 1 kutoka barabara ya lami. Ukubwa ni heka 1 Umeme wa Tanesco na bomba la maji vinapita jirani barabarani bei yake ni...
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Engine ya Toyota passo used inauzwa, ipo vizuri, four cylinders. Kama unahitaji, tuwasiliane inbox, SERIOUS BUYERS. Bei laki 800,000/Tshs only. Nawakilisha. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Uongozi wa kituo cha Elimu Huria cha Excellent Training Center kilichopo Upanga Mashariki karibu na Regency hospital tunawakaribisha wazazi na walezi kuleta vijana wao watakao hitimu Elimu ya...
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%) 8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4) Jumla kuanzia pea 10 8*8 @65000 Kwa waliopo Dar gharama ya usafiri juu ya mteja,,na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
In good condition, Ni 480,000, kama upo serious kwa wakaz wa dar, nicheki kwa pm
0 Reactions
1 Replies
581 Views
Back
Top Bottom