Mwanangu amevunja tv yangu ya inch 40 kwa kuipiga na remote! Na kwa bahati mbaya imevunjika screen kama inavyoonekana ktk picha hapa chini [emoji116]ninaomba msaada kama kuna mtu anayo au anamjua...
Simu Alcatel 5023F inauzwa ni ya mwez wa 3.
Laini mbili na betri yake inadumu sana yaani 5000mAh
Bei ni 150000(mazungumzo yapo)
Mawasiliano: 0765329261
Nipo Iringa( Mbeya,Dodoma,morogoro...
BEI ZA VITABU
Vitabu vifuatavyo vyenye kanuni (formulations) za utengenezaji wa bidhaa mbali mbali vinapatikana kama soft copies yaani wakati wa kulipia kitabu husika...
Shamba linauzwa lina ukubwa wa ekari tatu lipo dodoma mjini maeneo ya mzani(nala),umbali wa kama kilomita zisizozidi 12 kutoka town cente na kamaita 700/800 kutoka barabara kuu ya lami iendayo...
Nauza viwanja 4 vimepimwa vipo Mapinga eneo la kiharaka kimoja kina nyumba ya vyumba 3 kuna umeme wa Tanesco na kuna kisima kimechimbwa.Nyumba ya pili ina vyumba vi nne vya kupangisha.
Kama...
AAnaehitaji viungo halisi vya kupikia chai, pilau na mboga mbalimbali, viungo ni halisi kabisa, pia Tunasambaza matunda ya aina zote ukihitaji tunakufikishia mpaka ulipo, kwa mawasiliano...
Wakuu poleni kwa majukumu ya kila siku na mihangaiko yoote.
Nirudi kwenye topiki. Nina asali ya nyuki wakubwa kiasi cha debe 10. pia nina nta. Vyote hivi vinauzwa. Niko hapa Dar. Naomba kwa...
Hbr wadau,
Naomba kuuliza, decoders za bein sport kwa Dar es Salaam nani anauza?
Hao jamaa naona wako vizuri sana mikoani kwa watoa huduma za cables, nilitaka kupata decoder yao hapa dsm
Suluhisho pekee kwa wasomi for any Technical assistance and Training in research issue,bussines planning,proposal,project planning etc wasiliana nasi....Tupo Ukonga Dar
Sent using Jamii Forums...
Shamba lipo Mizani(Nala) Dodoma mjini karibu na chuo kipya cha biashara. Umbali wake toka town centre hazizidi kilomita 13 na toka barabara ya lami ni kama mita 700/800. Hati yake ni ya...
Mwenye kutaka nyumba ya kupangisha.
Nyumba ipo Mbezi mwisho. Ni kituo cha tatu kutoka Mbezi stand mpya kama unaelekea morogoro.
Ina masta moja.
Sitting room na vyumba vingine vinne.
Choo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.