Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyIngn za kimaendeleo vnapatkna kwa ukubwa wa mita 15/16 vipo karibu na makaz ya mhshimiwa mpango
0656 698232
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu. Poleni na hongereni kwa kazi.
Naomba mwenye kufahamu yanapopatikana haya maziwa tunayouziwa huku DAR.
Kuna mdau alinielekeza kwamba maeneo ya kisarawe na mkuranga yanapatikana...
Habarini ndgu nakuja jukwaani nikitafuta chumba kwa makazi kwa watu Wa iringa mliopo mtaa Wa kihesa karibu na barabara kuu ya iringa Dodoma nahitaji chumba kwa ajili ya kuishi bei maelewano ila...
Wakuu naileta hii on behalf of Rafiki yangu
Anatatarijia kuhamia Arusha,sasa anataka kufanya exchange Deal kwa mwenye Nyumba au Kiwanja Arusha ili abadilishane na Nyumba hii iliyopo Zanzibar.
Toa...
Kichwa cha Habari chatajwa... Natafuta chumba cha Kupanga ambacho kodi yake kwa Mwezi haitazidi 30,000/- maana yake kwa miezi sita ni 180,000/-
Kiwe maeneo ya Kibamba hasa hasa Kibamba Chama au...
Habari zenu wadau, kwa wanotafuta filters (fuel, lube,fuel separator & air filter ) ya generator wasiliana na Fleetcare Ltd. Tuna outlet Dar, kwa mawasiliano zaidi.
dsm@fleetcare.co.tz...
Kiwanja cha makazi na biashara kinauzwa.kipo dodoma kisasa B center.kina mita za mraba 846.kina hati.na kibali cha ujenzi.tayari kina msingi mkubwa wa mawe tupu.Ni eneo hot cake kwa wanaojua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.