Time Traveller
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 314
- 305
Habari wadau wa JF. Mayai bora ya kisasa yenye kiini cha njano yanapatikana Geza ulole wilaya ya kigamboni Dar-es-salaam.
Tunapokea oda ndogo na kubwa kutoka kwa watu binafsi, makampuni, bakeries, mashule, biashara ndogo ndogo. n. k. Ukihitaji kuanzia tray 5 utaletewa popote ulipo ndani ya dar-es-salaam.
Bei hubadilika badilika kutokana na kupanda kwa chakula cha kuku. Kwa sasa Tray moja ni shilingi 7000 ila ukichukua mengi inakuwa ni 6500
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0657 619708, 0693 053317.
Tunapokea oda ndogo na kubwa kutoka kwa watu binafsi, makampuni, bakeries, mashule, biashara ndogo ndogo. n. k. Ukihitaji kuanzia tray 5 utaletewa popote ulipo ndani ya dar-es-salaam.
Bei hubadilika badilika kutokana na kupanda kwa chakula cha kuku. Kwa sasa Tray moja ni shilingi 7000 ila ukichukua mengi inakuwa ni 6500
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0657 619708, 0693 053317.