mkuu ulivipatanatafuta vigae vya zamani kaama vile viilivyoezekwa katika nyumba za serikali obay...nafikiri mtakua mmenipata.kama kuna mtu amevitoa kwwnye nyumba yake ani pm tufanye biashara.nachukua idadi yoyote.natanguliza salam
kwa shiling ngapiNilivipata chief
Ova