Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini ndugu zangu!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji supplier wa prawns mwenye uzoefu mzuri na ambaye yuko tayari kufanya biashara katika mazingira ya uaminifu naomba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa Ekari 20. Lina mazao Ekari nne nanasi na passion. Eneo lingine huwa nalima muhogo. Muhogo unastawi sana. Shamba lipo BUNGU, KIBITI, pwani. Kuna banda la...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu. Ninatafuta mashine ya kufungia malisho ya mifugo (baling machine) aina ya CLAAS au NEW HOLLAND Tafadhali tuwasiliane iwapo unayo au unamfahamu aliyenayo
0 Reactions
2 Replies
683 Views
Natafuta Ofs inayouza vitu kama Laptop au sm kwa njia ya mtandao na wanaagizia wateja mikoan Kwa anaye wafaham anijuze kwa no 0767427770 whastu'p
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%) 8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4) Jumla kuanzia pea 10 8*8 @65000 Gharama ya usafiri juu ya mteja,na waliopo mikoani...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Naomba anayemfahamu fundi wa kufunga dish la TV ambaye yuko korogwe mjini anisaidie anipigie au sms au anibip 0766112752.
0 Reactions
0 Replies
958 Views
kutokana ongezeko la matumizi ya internet leo ni rahisi sana kupata ratiba ya mambo mbali mbali kwenye mitandao hivyo nimekuletea ratiba za usafiri wa mabasi ambayo ni NDENJELA JET, HAPPY...
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Habari wadau wa kusaka mafanikio ya halali kwa nguvu zote. kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, tafadhari ambao wako katika maeneo ambayo yana fursa za kufanya biashara inayohusiana na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Color Black, CC 1990 AB ABS AW RS FOG HID BT 180s km Total cost + Ushuru Tsh 17.9Mil Agiza nami: Call/whatsapp +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com ..wakati wote ni wakati wa kazi..
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Color Purple, CC 1290 AB ABS TV RS FOG NV 130s km Total cost + Ushuru Tsh 13Mil Agiza nami: call/whatsapp +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com ..wakati wote ni wakati wa kazi..
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hi. My laptop is fujitsu amilo notebook Li 3710 Battery model name: 3UR18650-2-T0182. 10.8V---4400mAh, 48Wh. How much it cost in tanzania shillings? How long it takes to get a single piece in...
0 Reactions
2 Replies
628 Views
Habar wana jamii nauza(150000/) samsung galaxy s3 haina matatizo yyt nilikuwa na shida tu ya simu line mbili ndio nimepata samsung j2. 07171 064646 napatikana dar-es-salaam Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta gari Toyota Raum kuanzia mwaka 2014 au IST bajeti yangu ni 7mil. Aliye nayo anitafute 0715520052. Unaweza nitumie picha kwa WhatsApp nipo Dar.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1.Nyumba iko Chang'ombe(hamvu) Dodoma mjini 2.Ina hati na imepimwa(square metre 355) 3.Iko block A,plot namba 31 4.Ina maji na umeme 5.Gari inafika mpaka nyumbani kabisa(barabara ni kubwa na...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Aina Toshiba Processor 2.20 GHz Ram 2 GB Ina camera ya mbele Model no PSK2LU-015001 Bei Tsh 280,000/= Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
902 Views
Natafuta lotion nzuri ya kiume,Nina chunusi usoni,ngozi yangu ina mafuta.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
TOYOTA RAUM 2003 TSH 10,200,000/= 59956km ======================================== Kwa kiasi cha shillingi 10,200,000/= tu Agiza gari toyota raum inayofaa kwa Matumizi binafsi na ya familia. Anza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Quality Business Solutions Company Limited. P o Box 70401 Dar es salaam Tunauza quickbooks na Tally software piaa tunatoaa training kwa bei rahisi sa...Contact us 0714777211 or 0766866717...
1 Reactions
0 Replies
859 Views
Habari wakuu Natafuta one bedroom apartment in short term lease/rent One Month only maeneo ya Michenzani, Kikwajuni, Mtendeni, Mlandege , Kilimani ama Kwa Mchina Mwisho. Nategemea kuwepo Zenj...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
Habari wapendwa naitaji mayai ya kuku wa kisasa kwa wiki naitaji trei 100 za mayai kwa mwezi naitaji trei 400 napatikana dar-es-salaam posta mpya mtaa wa jamhuri kwa mawasiliano 0676918508
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom