Tofauti kati ya smart tv,led na lcd.

Tofauti kati ya smart tv,led na lcd.

BRO SANTANA

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,845
Reaction score
2,249
Habari wakuu.
Naomba mwenye kujua tofauti ya hizo flat tv hapo juu maana sijui ninunue ipi na ipi ni bora kuliko zote.
Nawakilisha.
 
Habari wakuu.
Naomba mwenye kujua tofauti ya hizo flat tv hapo juu maana sijui ninunue ipi na ipi ni bora kuliko zote.
Nawakilisha.
LED ni advanced model ya LCD,
Hata muonekano wapicha, LED ni nzuri zaidi kuliko LCD.
Smart ni functioning ya ndani ya TV,
Hizi Smart waweza kuzitumia kama unavyotumia simu ku-download au ku watch movie online na mengineyo.

So inaweza ikawa ni LED na ni Smart TV hapo hapo
 
LED ni advanced model ya LCD,
Hata muonekano wapicha, LED ni nzuri zaidi kuliko LCD.
Smart ni functioning ya ndani ya TV,
Hizi Smart waweza kuzitumia kama unavyotumia simu ku-download au ku watch movie online na mengineyo.

So inaweza ikawa ni LED na ni Smart TV hapo hapo
What is LCD AND LED??
 
LED ni advanced model ya LCD,
Hata muonekano wapicha, LED ni nzuri zaidi kuliko LCD.
Smart ni functioning ya ndani ya TV,
Hizi Smart waweza kuzitumia kama unavyotumia simu ku-download au ku watch movie online na mengineyo.

So inaweza ikawa ni LED na ni Smart TV hapo hapo
Shukrani sana mkuu.
 
Back
Top Bottom