Natafuta au nahitaji kuku wa mayai

Natafuta au nahitaji kuku wa mayai

kizeze

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2012
Posts
346
Reaction score
361
Habari
Nahitaji kuku wa mayai (wanaotaga au waliomaliza kutaga) kwa bei ya sh.9000
Nahitaji kama kuku 700
Hata kama unao kuku 100 au unajua kuna mahala wanauza naomba nijulishe
Hii biashara ni endelevu kwani hao kuku kila wiki nakuja kuwachukua
Kama unao tuwasiliane in box
 
Mimi Nina kanga kwa idadi hiyohiyo VIP unaweza kuwachukua mkuu?
 
Back
Top Bottom