samahan kwa kuwapotezea muda. mi ni kijana ambaye nimejaribu kuanza kibanda changu lakini kwa bahati mbaya ramani ya paa imepotea. na nimeshafika ujenzi wa juu wa matofari mda kidogo. nyumba yangu...
Najua ili uweze kuwa na uhakika na kuona mpira wenye ubora lazima uwe na DSTV, lakini sio lazima ununue DSTV,
Pata slim chip yenye channels zaidi ya 200,
DSTV lazima ununue kifurusi cha 210,000...
Habari!
Tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kupanua wigo wa kazi zetu.
Licha ya kutoa huduma ya ujenzi lkn pia tumeanza na kutoa huduma ya
Ufundi umeme
fumigation.
Property management.
Furniture...
Government Accounting ni moja kati ya topic ambayo inasumbua sana mashuleni kwa wote walimu na wanafunzi, Topic hii iko kwenye kitabu cha book two kinachotarajia kutoka hivi punde.
Jipatie...
Kiwanja nipo karibu na kituo cha pugu kajiungeni njia panda ya kwenda chanika kwa mawasiliano zaidi piga # 0768572910
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunawakaribisha watu wenye gari ndogo kufanya kazi na UBER itakuingizia pesa bila kutumia nguvu nyingi kupata wateja .Na pia yeyote mwenye smart phone anaweza Kuwa na application ya UBER na kuweza...
Habari wanajamiiforums,
Katika maisha mafanikio yanaanza na Mtu kupata taarifa sahihi kwa wakati sahihi sehemu sahihi na kutenda kwa wakati sahihi.
Nikiwa kama mjasiramali nashare nanyi fursa...
Habari Wadau.
Ujanja nyumba, ujanja ardhi ujanja vitegauchumi.
Nawaarifu uwepo wa Viwanja vinavyouzwa eneo la MABWEPANDE-MWISHO.
Ni kilomita 6 tu kutoka BUNJU-B,
Kwa Noah ni mwendo wa wastani wa...
Naweka bondi simu yangu lenovo A6000 nipo Dar naitaji Mkopo Wa laki 2.5 haina shida yoyote nauza coz matatizo
Original toleo la kwanza alietayari ani pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za mchana na jioni waungwana.
Naomba kama kuna mtu ambae ni fundi mtengenezaji wa mashine za kutotoleshea vifaranga (incubetor) tuwasiliane DM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza pikipiki boxer 100 haina tatizo lolote
Ina vibali vyote
Document zote zipo
Haili mafuta
Haihitaji marekebisho ni kutoa hela, kuwasha na kuondoka
Bei laki saba tu (700,000) ukiwahi...
Habari zenu jamani, Nimelima tangawizi mkoani Moshi wilaya ya Same na zipo yayari kwa kuvuna.Nilikua natafuta soko zuri la tangawizi, kwa anaye faham please naomba msaada.
Sent using Jamii Forums...
HABARI WAKUU,
Nimefurahi sana baada ya kupata taarifa kuwepo kwa apps za mikopo rahisi huko playstore, we ni kupakua app yako na kujaza fomu kisha unapakua kiasi kulingana vigezo vyako..
Mimi ni...
Salam!
Laptop nzuri sana inauzwa kwa bei ya nzuri kutokana na ubora wake! Laptop hii ina sifa hizi hapa.
Aina: Hp elitebook 8540w
Operating system: window 8.1 Pro 64-bit (6.3, Build 9600)...
kwa anehitaji dagaa wa Mwanza wale wabichi wamekaangwa tuwasiliane. Unaweza wapasha ukala au unaweza kuwaunga either way! Hawana mchanga na sio wachungu.
Pakiti-1500 (wamewekewa viungo)...
Make : TOYOTA
Model : Belta (SCP92)
Mileage : 91,416km
Engine size: 1,290cc (2SZ)
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive : -
M/Year ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.