piki piki km hapo juu inahitajika.... brand new..
Au iwe inafanana na iyo.
Isiwe na cluch... na iwe ina uwezo wa kupakia mtu... na tairi ziwe nyembamba....
Mwenye nayo au anayejua wapi...
Nauza Kiwanja tegeta boko(dawasco) kabla ya basihaya ,ukubwa 400sqm ,kimepimwa na hati miliki,bei million 28 tu, .karibu ufurahie upepo wa bahari ni mita chache kutoka baharin
0672211602
Sent...
Kitanda kipya kina wiki 2 tangu kinunuliwe kinauzwa. Ni 5x6, kipo Kigogo. PM namba yako tuwasiliane uje ukiangalie.
::::::::::::::::::
Nimeweka picha sasa. Kitanda hicho hapo jamani.
Mwasonga ipo kilomita 9 kutoka Kibada, Kigamboni.
Mbele kidogo ya Dar es salaam Zoo na jirani na Chuo kikuu cha kipya cha Wakorea.
Viwanja hivi vimepimwa na vipo vya ukubwa kuanzia mita za mraba...
Wakuu Salaam.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kiwanja chenye ukubwa wa nusu ekari kinauzwa ,anayeuza ni Dada yangu ni kwenye makazi ya watu ukihitaji tufuatane pm kwa maelezo ana shida...
Kimanzichana ni Kimji ambacho Kipo pembeni mwa barabara inayoelekea Mtwara (Kilwa road),
Kadiri ya kilomita 45 kutoka Dar es salaam mjini.
Shamba lipo la ukubwa wa Ekari 200
Ambazo zinauzwa...
samahan kwa kuwapotezea muda. mi ni kijana ambaye nimejaribu kuanza kibanda changu lakini kwa bahati mbaya ramani ya paa imepotea. na nimeshafika ujenzi wa juu wa matofari mda kidogo. nyumba yangu...
Najua ili uweze kuwa na uhakika na kuona mpira wenye ubora lazima uwe na DSTV, lakini sio lazima ununue DSTV,
Pata slim chip yenye channels zaidi ya 200,
DSTV lazima ununue kifurusi cha 210,000...
Habari!
Tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kupanua wigo wa kazi zetu.
Licha ya kutoa huduma ya ujenzi lkn pia tumeanza na kutoa huduma ya
Ufundi umeme
fumigation.
Property management.
Furniture...
Government Accounting ni moja kati ya topic ambayo inasumbua sana mashuleni kwa wote walimu na wanafunzi, Topic hii iko kwenye kitabu cha book two kinachotarajia kutoka hivi punde.
Jipatie...
Kiwanja nipo karibu na kituo cha pugu kajiungeni njia panda ya kwenda chanika kwa mawasiliano zaidi piga # 0768572910
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunawakaribisha watu wenye gari ndogo kufanya kazi na UBER itakuingizia pesa bila kutumia nguvu nyingi kupata wateja .Na pia yeyote mwenye smart phone anaweza Kuwa na application ya UBER na kuweza...
Habari wanajamiiforums,
Katika maisha mafanikio yanaanza na Mtu kupata taarifa sahihi kwa wakati sahihi sehemu sahihi na kutenda kwa wakati sahihi.
Nikiwa kama mjasiramali nashare nanyi fursa...
Habari Wadau.
Ujanja nyumba, ujanja ardhi ujanja vitegauchumi.
Nawaarifu uwepo wa Viwanja vinavyouzwa eneo la MABWEPANDE-MWISHO.
Ni kilomita 6 tu kutoka BUNJU-B,
Kwa Noah ni mwendo wa wastani wa...
Naweka bondi simu yangu lenovo A6000 nipo Dar naitaji Mkopo Wa laki 2.5 haina shida yoyote nauza coz matatizo
Original toleo la kwanza alietayari ani pm
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.