Wana jf wenzangu poleni na majukum....
Km nilivotanguuliza hapo juu..nahitaji heat press machine ...specification zake na ubora pia, ikiwezekana kwa wataalamu zaid wanaweza nipatia na tofaut...
Tunatoa huduma ya kufukuzia na kufukiza hapa Arusha Kwa bei ya kawaida mno,
1.Office & household Fumigation
2.Compound Fumigation
(a) farm
(b) Construction sites
3.Warehouse/Godown...
UBER TECHNOLOGY :inaendelea kutoa fulsa Kwa yeyote mwenye gari dogo lenye vigezo stahiki kujiunga nasi na hatimaye kuweza kuongeza kipato katika shughuli za kila siku.unaweza ukawa na gari na...
Business partners are needed to invest in fish processing plant in one of the coastal regions. Already the plant has been completed with the processing facilities, cold rooms, 3 residential...
Ni imara na inapendezesha nyumba
Wateja wa dar kuletewa buree
Kufunga pia ni buree
Wamikoani tunatuma pia
Zipo rangi za aina mbalimbali
Malipo mpaka upate mzigo wako
Ni tsh 60,000 tuu...
Jamani ninaomba kuuliza hivi kuna mashine za kufumia vitambaa vya makochi/nyuzi au masweta? Mimi nashida nayo napata tenda nyingi ila siwezi kufuma kwa wakati kama kuna mtu anajua aniambie na...
Napatikana hapa Nyegezi Stand Mwanza, nimefungua office yangu mpya ya MYHAMALA PESA, inajihusisha na Tigo, Voda na Airtel...
NATAKA KUPATA kuapata MASHINE YA MAX MALIPO ili kuboresha na kukidhi...
Hii nyumba ipo kimara temboni na apartment zingine zimeshapangishwa ni Vyumba Viwili kimoja master na imesimama dirisha za vioo ni mita350 toka barabarani maji ni uhakika njoo inbox kwa...
Nauza spika za music kwa sherehe za ukumbini au nje ya ukumbi hizi spika zinafaa kwa wanaopiga music wa sherehe, kwani ziko nne mid range mbili kila moja ikiwa na spika za Candy mbili na base...
Habari wakuu
Ninauza kiwanja kiko maeneo ya kisasa dodoma mjini.kimepimwa na kina hati na kina pagale ndani yake.kiko block E na plot no.25!!!
Kiko umbali wa kama mita 130/170 toka barabara kuu ya...
Habari za muda huu, kwa wapenzi wa ubuyu na wajasiriamali.. Nauza ubuyu kutoka Zanzibar kwa elfu 33 tu ndoo ndogo ya lita 10,ubuyu Mtamu.. Na napokea oda kwa idadi unayoitaka.. Ubuyu unapikwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.