Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana jf wenzangu poleni na majukum.... Km nilivotanguuliza hapo juu..nahitaji heat press machine ...specification zake na ubora pia, ikiwezekana kwa wataalamu zaid wanaweza nipatia na tofaut...
0 Reactions
1 Replies
727 Views
Tunatoa huduma ya kufukuzia na kufukiza hapa Arusha Kwa bei ya kawaida mno, 1.Office & household Fumigation 2.Compound Fumigation (a) farm (b) Construction sites 3.Warehouse/Godown...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
UBER TECHNOLOGY :inaendelea kutoa fulsa Kwa yeyote mwenye gari dogo lenye vigezo stahiki kujiunga nasi na hatimaye kuweza kuongeza kipato katika shughuli za kila siku.unaweza ukawa na gari na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Business partners are needed to invest in fish processing plant in one of the coastal regions. Already the plant has been completed with the processing facilities, cold rooms, 3 residential...
1 Reactions
3 Replies
693 Views
Ni imara na inapendezesha nyumba Wateja wa dar kuletewa buree Kufunga pia ni buree Wamikoani tunatuma pia Zipo rangi za aina mbalimbali Malipo mpaka upate mzigo wako Ni tsh 60,000 tuu...
0 Reactions
23 Replies
19K Views
Habari wapendwa,samahani naulizia magari ya kusafirisha mizigo mby -dar ofis zake zipo wapi kwa hapa dar.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana JF naomba kujuzwa ni wapi naweza kuuza sarafu za zamani zenye matundu katikati.. msaada plz Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Jamani ninaomba kuuliza hivi kuna mashine za kufumia vitambaa vya makochi/nyuzi au masweta? Mimi nashida nayo napata tenda nyingi ila siwezi kufuma kwa wakati kama kuna mtu anajua aniambie na...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Digital Camera Panasonic (imetumika) inauzwa. Sms or Call:
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Wakuu nauza Samsung TV inch 32 pamoja na deki ya sing sang .bei 400,000/=kwa vyote. Napatikana dar,bei ni fixed...hakuna punguzo Anaeitaji njoo pm
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Napatikana hapa Nyegezi Stand Mwanza, nimefungua office yangu mpya ya MYHAMALA PESA, inajihusisha na Tigo, Voda na Airtel... NATAKA KUPATA kuapata MASHINE YA MAX MALIPO ili kuboresha na kukidhi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hii nyumba ipo kimara temboni na apartment zingine zimeshapangishwa ni Vyumba Viwili kimoja master na imesimama dirisha za vioo ni mita350 toka barabarani maji ni uhakika njoo inbox kwa...
0 Reactions
1 Replies
689 Views
Habari wanajamvi,nahitaji gari nzuri ya kutembelea kati ya zilizotajwa hapo juu,OFA yangu ni 5,000,000/= Call/Whatsapp 0655874863
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wadau Nina jamaa yangu anahitaji cruiser coil ambayo ipo tayari kupakia wageni,yaani I we imeshakatwa na iwe fupi. Kuna mil 30 fasta. Hebu niPM
0 Reactions
1 Replies
690 Views
wapi nitapata wino wa kujaza catridge (hp) kwa bei nafuu,Arusha?
0 Reactions
2 Replies
842 Views
Nauza spika za music kwa sherehe za ukumbini au nje ya ukumbi hizi spika zinafaa kwa wanaopiga music wa sherehe, kwani ziko nne mid range mbili kila moja ikiwa na spika za Candy mbili na base...
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Natafuta Camera mwenye nayo aweke namba hapa nimcheki NIKON 3200,5100,AU 5300 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu Ninauza kiwanja kiko maeneo ya kisasa dodoma mjini.kimepimwa na kina hati na kina pagale ndani yake.kiko block E na plot no.25!!! Kiko umbali wa kama mita 130/170 toka barabara kuu ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za muda huu, kwa wapenzi wa ubuyu na wajasiriamali.. Nauza ubuyu kutoka Zanzibar kwa elfu 33 tu ndoo ndogo ya lita 10,ubuyu Mtamu.. Na napokea oda kwa idadi unayoitaka.. Ubuyu unapikwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom