Baada ya kukomaa na kufika mwezi wa sita na hata wa saba nikiwa mjini.
Hatimaye vyuma vimekaza kiasi cha kuamua kujisalimisha mwenyewe kijijini.
Wana JF nauza vitu vyangu kwa bei chee ili...
wakuu habari, nahitaji piki pike
sina ya t better au San lg used ILA iwe katika hali nzuri wadau,bajeti yangu ni tsh laki 6,mazungumzo yapo.kwa mawasiliano 0744220366.karibuni sana wadau tuyajenge.
Habari wana Jf, last time nilitafuta house girl humu ndani, nashukuru nilimpata na tuko nae mpaka sasa anamlea mwanangu n mwezi wa tatu sasa na hakuna tatizo lolote. Asante kwa wana Jf wote...
Wanajamii kama kuna MTU anatengeneza vifungashio vya plastic mifuko ya plastic au kama kuna MTU anajua jinsi ya kutengeneza please naomba muongozo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunauza shamba lenye ukubwa wa hekari 1200, ambalo liko Lupembe - Njombe. Ardhi ya hapa inafaa sana kwa upandaji wa miti na chai, pia mazao mengine. Tunapenda kupata mnunuzi atayeweza kuchukua...
PRINTING:
PVC Plastic Id card ( hard like ATM)
PVC Certificates ( for colleges)
PVC Menus ( for HOTELS)
Business card
- Laminated
- Art paper
- Gloss paper
Posters
Brochures
Fliers
Name Tag
LOGO (...
· Abdul Khaliq Saeed announced as CEO of Etihad Airways Engineering
Abu Dhabi, UAE – The Etihad Aviation Group (EAG) today confirmed Abdul Khaliq Saeed as the new Chief Executive Officer...
Namba za utambuzi wa mifugo yako yaani ear tags tunaziuza kwa bei poa kabisa
- Kazi kuu ya ear tags ni kwaajili ya kuwatambua wanyama wako.
- Kila ear tag ina namba yake
- Hivyo ukiwavalisha...
piki piki km hapo juu inahitajika.... brand new..
Au iwe inafanana na iyo.
Isiwe na cluch... na iwe ina uwezo wa kupakia mtu... na tairi ziwe nyembamba....
Mwenye nayo au anayejua wapi...
Nauza Kiwanja tegeta boko(dawasco) kabla ya basihaya ,ukubwa 400sqm ,kimepimwa na hati miliki,bei million 28 tu, .karibu ufurahie upepo wa bahari ni mita chache kutoka baharin
0672211602
Sent...
Kitanda kipya kina wiki 2 tangu kinunuliwe kinauzwa. Ni 5x6, kipo Kigogo. PM namba yako tuwasiliane uje ukiangalie.
::::::::::::::::::
Nimeweka picha sasa. Kitanda hicho hapo jamani.
Mwasonga ipo kilomita 9 kutoka Kibada, Kigamboni.
Mbele kidogo ya Dar es salaam Zoo na jirani na Chuo kikuu cha kipya cha Wakorea.
Viwanja hivi vimepimwa na vipo vya ukubwa kuanzia mita za mraba...
Wakuu Salaam.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kiwanja chenye ukubwa wa nusu ekari kinauzwa ,anayeuza ni Dada yangu ni kwenye makazi ya watu ukihitaji tufuatane pm kwa maelezo ana shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.