ngoja niagize lita tano niweke kwa friji ninywe mdogomdogo,napenda yenye molasesasante mkuu inamsesewe?
yani huwa inashuka unaisikia aisee..ngoja niagize lita tano niweke kwa friji ninywe mdogomdogo,napenda yenye molases
asante mkuu inamsesewe?
kuna mtu anaitaji kukeketwa aisee anatesa sana ndugu zake eti mizimu ya kwao .Unaweka asali?
kuna mtu anaitaji kukeketwa aisee anatesa sana ndugu zake eti mizimu ya kwao .
Najua ya gongo so nzuriWengine wanachanganya na gongo.
hahahahaahahah, aisee!
shogaa umeagiza lita ngapi nije?hahahahaahahah, aisee!
hahaha, ngoja nimuulize mleta uzi kama ana matawi mengine nje ya "Daa"? hahahahahshogaa umeagiza lita ngapi nije?