Frank Msambila
New Member
- Sep 7, 2017
- 3
- 2
samahan kwa kuwapotezea muda. mi ni kijana ambaye nimejaribu kuanza kibanda changu lakini kwa bahati mbaya ramani ya paa imepotea. na nimeshafika ujenzi wa juu wa matofari mda kidogo. nyumba yangu ina wastan wa 150sqm. kama natumia bati za kupima za araf hafu nina bajeti ya milion 6 inakuaje? au milion 5 mpaka 6 naeza nikafanya itapendeza?
je? inawezekana kudizain paa kama ramani niliyonayo ni ya mchoro wa chini tu?
je? inawezekana kudizain paa kama ramani niliyonayo ni ya mchoro wa chini tu?